DKT. JOHN MAGUFULI AONGOZA ZOEZI LA KUAPISHA WAHANDISI

Posted in
No comments
Sunday, May 25, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Eng. Gerson Lwenge akiapishwa. Pichani kutoka. kushoto, Msajili wa Bodi ya Makandarasi Eng.Steven D.M.Mlote,Mwenyekiti wa Makandarasi,Eng.Pfrof.Ninatubu Lema,Waziri wa Ujenzi Mhe.John Magufuli ,Hakimu Mkazi Mhe.Verynice Kawishe na Wakili Mkuu wa Serikali (PSA) Mhe.Donald L.Chidowu.
 Naibu Waziri wa  Uchukuzi,Mhe. Eng.Dkt.Charles Tizeba akipongezwa na Mhe. Dkt John Magufuli mara baada ya kuapishwa.
 Wahandisi viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na Hakimu Mkazi   Mhe.Verynice Kawishe wakati akiapisha Wahandisi 120 kwa pamoja.
 Wahandisi wakiwa wanaapa kwa pamoja.
 Wahandisi wakiwa wanaapa kwa pamoja.
 Wahandisi wakiwa katika picha ya Pamoja kwa makundi manne tofauti mara baada ya kula  kiapo cha uaminifu katika kazi yao ya Uhandisi.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .