MASHINDANO YA MCHEZO WA DATS YAZINDULIWA MKOANI MOROGORO KITAIFA, MIKOA TISA KUSHIRIKI

Posted in ,
No comments
Sunday, May 25, 2014 By danielmjema.blogspot.com

 Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa shindano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Magunila  Kihonda Mjini Morogoro.
 Wahsiriki wa shindano hilo kutoka mikoa mbailimbali wakiwa katika ukumbi  huo wakishuhudia pambano hilo.

 Irene Kihupi mchezaji kutoka mkoa wa Dar es Salaam akiwa katika pambano hilo.
 Joyce Laize mchezaji kutoka mkoa wa Arusha akiwa katika pambano hilo.
 Mwenyekiti huyo wa Dats akizindua mchezo huo ili kuruhusu pambano kuanza rasmi.
 Baadhi ya wachezaji wakiwa katika pambano hilo
Frolida Namajojo katibu wa Dats mkoa wa Morogoro akiwa katika mazoezi kabla ya kuanza mchezo huo.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .