GODFREY MGIMWA AKABIDHI MSAADA WA BATI KIJIJI CHA USENGERENDETI NA MAHANZI

Posted in
No comments
Tuesday, July 15, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Katibu  wa mbunge  wa jimbo la Kalenga  Bw  Martine Simangwa  kushoto akikabidhi msaada wa bati  100 kwa  uongozi wa kijiji cha Usengerendeti  kwa  ajili ya ujenzi wa nyumba ya wauguzi wa Zanahati ya  kijiji  .

Wananchi  wakishiriki kushusha  bati  hizo
Katibu  wa mbunge Mgimwa Bw Martine Simangwa akieleza kazi mbali mbali  zilizofanywa na mbunge Godfrey Mgimwa toka alipochaguliwa 
Katibu wa mbunge Mgimwa Bw Martine  Simangwa kushoto akikabidhi bati 80  kwa uongozi wa  serikali ya  kijiji  cha Mahanzi  kwa ajili ya ujenzi  wa vyumba vya madarasa katika  kijiji hicho kipya 
 Wananchi  wakimpongeza  katibu wa Mgimwa kwa niaba ya mbunge wao Godfrey Mgimwa 

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .