JK ATAKA MSAADA ESRF KUONDOA UMASKINI KWENYE UCHUMI UNAOKUA KWA KASI KUBWA
Posted in
Matukio
No comments
Saturday, September 13, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya ESRF, Philemon Luhanjo mara baada ya kuwasili kwenye hoteli ya Hyatt Regency, Kilimanjaro kufungua mkutano mkubwa wa tatu wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.
Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk. Hoseana Lunogelo (kushoto) akiongozana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya ESRF, Philemon Luhanjo (katikati) kuelekea ukumbi wa mikutano.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili ukumbini kufungua mkutano mkubwa wa tatu wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii. Katikati ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.
Meza kuu, Katikati ni mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya fedha, Prof. Adolf Mkenda, Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez ( wapili kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya ESRF, Philemon Luhanjo (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk. Hoseana Lunogelo (wa pili kushoto).
Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk. Hoseana Lunogelo akisoma taarifa ya taasisi yake mbele ya mgeni rasmi wakati wa mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii sambamba na kutimiza miaka 20 ya tasisi hiyo tangu kuanzishwa kwake uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency, Kilimanjaro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk. Hoseana Lunogelo mara baada ya kusikiliza taarifa ya maendeleo ya ESRF.
Mwenyekiti wa Bodi ya ESRF Philemon Luhanjo, akizungumza neno fupi kabla ya kumrabisha mgeni rasmi Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufungua rasmi mkutano huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency, Kilimanjaro.
Mkurugenzi wa Programu wa ESRF ambaye pia ni Mratibu wa Mradi wa taarifa ya maendeleo ya watu nchini Tanzania (THDR), Dr. Tausi Kida akifuatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani) wakati wa mkutano huo.
Mjumbe wa Bodi ya wadhamini ESRF, Prof. Sylvia Temu akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza kwa niaba ya Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano huo. Kulia ni Gelase Mutahaba kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Kushoto ni Prof. Bertil Tungodden kutoka nchini Norway na Mjumbe wa Bodi ya wadhamini ESRF, Prof. Sylvia Temu (wa pili kushoto).
Pichani juu na chini ni Baadhi ya wawakilishi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, mabalozi, taasisi mbalimbali za serikali waliohudhuria mkutano huo uliofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency, Kilimanjaro jijini Dar.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :