CHID BENZ APATA DHAMANA!

No comments
Wednesday, October 29, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Hatimaye Rapa Rashidi Makwiro, maarufu Chid Benz,leo amefanikiwa kupata dhamana na kutolewa rumande na kurejea uraiani. Anatakiwa kufika mahakamani Novemba 11 ambapo kesi yake itatajwa tena.

Chid Benz 'King Kong' kutoka kundi la La familia Ilala, mchana wa October 28 alisimamishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yanayomkabili.
Mashtaka matatu yanayomkabili Chid Benz ni;-
  1. Kukutwa na madawa na vifaa vya kutayarishaji uvutaji wa madawa
  2.  Kusafirisha madawa ya kulevya
  3.  Utumiaji wa madawa ya kulevya
Baada ya kusomewa mashitaka hayo alitakiwa kurudi rumande huku dhamana yake takiwa ikiwekwa wazi kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wanaotambulika na jumla ya pesa taslim million 1.e

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .