KADA WA CCM AKUMBUKA WATOTO YATIMA SIKU YAKE YA KUZALIWA.

Posted in ,
No comments
Saturday, December 6, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Kada wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro,Olivia Sanare akikabidhi zawadi kwa watoto wa kituo cha Kili Center ikiwa ni sehemu ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Makada mbalimbali wa CCM mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo cha Kili Center baada ya kumsindikiza mwenzao Olivia Sanare aliyekuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Kada wa CCM,Olivia Sanare akizungumza na watoto waishio katika mazingira magumu wa kituo cha Kili Center alipotembelea kituo hicho kutoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho.
Watoto wa kituo cha Kili Center wakimuimba wimbo wa Birthday,kada wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Olivia Sanare aliyevaa kofia. 
Kada wa CCM ,Olivia akisakata Kwaito na watoto wa kituo cha Kili Center.
Watoto wa kituo cha Kili Center wakitoa burudani ya Kuch kuch Hota Hae kwa wageni waliowatembelea  kituoni hapo.
Kada  wa CCM ,Olivia akila chakula pamoja na watoto wa kituo cha Kili Center ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu yake ya siku ya kuzaliwa.
Olivia akiwa amebeba watoto katika kituo cha Kili Center mara baada ya kuwatembelea na kuwapatia zawadi.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .