TBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI
No comments
Thursday, December 4, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo,(kushoto), akimkabidhi Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. Ripoti ya Upimaji wa afya za madereva, wakati wa Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani iliyofanyika Novemba 22 hadi 28 katika vituo vya mikese, mkoaniMorogoro. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam juzi.
Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. akitoa shukrani kwa TBL baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Upimaji wa afya za madereva,Mganga Mkuu wa Polisi akisoma ripoti hiyo
Habari Zingine
- Tanzania kinara unyanyasaji kwa watu wenye Ualbino
- Je Wajua Samaki Wabichi ni Dawa?
- Tigo yakabidhi Kompyuta na Printa kwa Jeshi la Polisi Mwanza, Tanzania
- Microsoft kuinunua Linkedin kwa Dola Bilioni 26.2
- BODI YA FILAMU NCHINI KENYA YAISHINIKIZA Coca Cola KUFUTA TANGAZO
- KUTOKA KIJIWENI: ILI UFANIKIWE ACHA KUFANYA HAYA
- TANZANIA: RC DAR ES SALAAM, SAID MECK SADIKI AZINDUA DUKA LA HUAWEI JIJINI DAR ES SALAAM
- JESHI LA POLISI TABORA LAKAMATA WAWILI KWA KUTENGENEZA MAGOBOLE
- TBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI
- MWALIMU MBARONI KWANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI
- TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL.24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA. ZITASAIDIA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA
- WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.
- Fahamu nchi zinaongoza kwa matumizi ya Bangi
- Kuwa na mpenzi na afya nzuri huchangia furaha
- Mji wa Dodoma, nchini Tanzania yakumbwa na ugonjwa usiojulikana
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :