MWILI WA MAREHEMU MZEE SAMWELI NTAMBALA LWANGISA WAPOKELEWA BUKOBA, MAJONZI YATANDA KWA WANABUKOBA.
Posted in
Kifo
No comments
Tuesday, June 2, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Na Faustine Ruta, Bukoba
Mwili
wa Marehemu Samuel Ntambala Luangisa uliwasili usiku wa kumkia leo
katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera. Mauti yalimkuta akiwa Nchini
Marekani na maziko yake itakuwa kesho jumatano june 3,2015. Wakati wa
Uhai wake Marehe Samwel Luangisa aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa
Mkoa wa Kagera (ukiitwa ziwa magharibi), Aliwahi pia kuwa mbunge wa
Bukoba Mjini, Meya wa Bukoba na Diwani wa Kata ya Kitendaguro hadi mauti
yalipomkuta.
Habari Zingine
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete alivyoongoza mazisi ya mtoto wa Mdau, Issa Muhiddin Michuzi
- UPDATES ZA MSIBA WA MTOTO WA ANKAL: MWILI UMESHAWASILI DAR ES SALAAM, MAZISHI LEO JUMAMOSI SAA 10 ALASIRI MAKABURI YA KISUTU
- WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA, JIJINI DAR ES SALAAM
- Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
- IS yauwa wanajeshi 32 wa Libya
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :