Ne-Yo na Diamond wawaonjesha mashabiki wimbo wao mpya

Posted in
No comments
Monday, May 23, 2016 By danielmjema.blogspot.com


Tamasha la Jembeka Festival 2016 lililofanyika Jumamosi hii mkoni Mwanza lilijaa surprise kwani msanii kutoka Marekani, Ne-Yo na Diamond waliwaonjesha mashabiki wao kolabo yao ambayo inarajia kutoka hivi karibuni.

Kabla ya Ne-Yo kumpandisha Diamond jukwanii, alianza kumsifia hali ambayo iliyonyesha ni jinsi gani anamkubali msanii huyo.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .