Prezzo: Sihitaji 'Collabo' za Mastaa wa Afrika
Rapper wa humu nchini Prezzo amesema hana haja na kolabo za wasanii wakubwa wa Afrika kwani yeye ameshapewa baraka baada ya kukutana na Rapa Jay Z.
Akizungumza na Enewz Prezo alisema kuwa yeye anajiamini hata alivyokutana na Jay Z rapper huyo alionekana kufurahia uwepo wake hivyo hana haja sana na kolabo za wasanii wa Afrika ili kutoka kimuziki.
Pia Prezzo alimpongeza msanii Jaguar kutoka nchini Kenya kwa kolabo yake na Mafikizolo huku akimpa pole kwa kutojua kudab katika nyimbo hiyo kiasi cha kukosea kufanya hivyo katika video yake.
Habari Zingine
- RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY
- New Hit: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao
- Madonna atembelea makazi duni ya Kibera, Nairobi
- Timbulo: SIjarejea kwenye ualimu
- Vijana wazidi kujitokeza usaili wa Maisha Plus East Africa, Dar es salaam yatia fora
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :