Ratiba ya shughuli ya kuuaga mwili wa Makongoro Oging
Posted in
Tanzia
No comments
Tuesday, May 24, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Hii ndiyo ratiba ya Shughuli ya kuuaga kwa mwili wa aliyekuwa Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Uwazi, Makongoro Oging' aliyefariki Mei 21, 2016 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Marehemu alikuwa akiendelea kwa matibabu akiwa nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam ambapo mauti yalimfika.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :