Ratiba ya shughuli ya kuuaga mwili wa Makongoro Oging
Posted in
Tanzia
No comments
Tuesday, May 24, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Hii ndiyo ratiba ya Shughuli ya kuuaga kwa mwili wa aliyekuwa Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Uwazi, Makongoro Oging' aliyefariki Mei 21, 2016 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Marehemu alikuwa akiendelea kwa matibabu akiwa nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam ambapo mauti yalimfika.
Habari Zingine
- Mbunge wa chama cha Leba Uingereza auawa
- Hivi ndivyo Mohammad Ali alivyopumzishwa, watu 14,000 walihudhuria
- Matukio katika Picha: Ziara ya Marehemu Mohammad Ali alipotembelea Afrika
- Obama kutohudhuria mazishi ya Mohammad Ali, Yatafanyika Ijumaa hii
- Kocha wa zamani wa Nigeria, Stephen Keshi amefariki Dunia
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :