Unaanzaje kumsahau Ronaldinho Gaucho kwa vitu adimu kama hivi?
No comments
Sunday, May 22, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Ulimwengu wa Soka umeshuhudia magwiji wengi wa kusakata kabumbu kama Thiery Henry, Dunga, Ronaldo de Lima, Figo, Zinadine Zidane, Lionel Messi, Luis Nani, Luis Suarez, Cristiano Ronaldo, Iniesta, Drogba, Eto'o na Neymar jnr, lakini unaanzaje kumsahau Ronaldinho Gaucho?
Ronaldinho ni moja kati ya wachezaji wa Brazil waliowahi kutamba katika soka la Ulaya kwa muda mrefu, kiasi hata cha kufanikiwa kutwaa tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia.
Ronaldinho amefanya vitu vingi katika soka, amefanikiwa kutwaa mataji yote makubwa aliyowahi kuwania ila leo mtu wangu naomba nikuletee video ya skills zake uwanjani ambazo ni ngumu kusahaulika. Video ifuatayo inakuonesha vitu adimu kutoka kwa mkali aliyewahi kutamba na Barcelona na kikos cha Brazil.
Habari Zingine
- Vijana wazidi kujitokeza usaili wa Maisha Plus East Africa, Dar es salaam yatia fora
- Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 05.05.2018
- Tuliwapa Salah na De Bryune 'Second Chance' iweje tusimpe Balloteli
- KIUNGO WA ZAMANI WA TAIFA STARS ATHUR MWAMBETA ANAOMBA MSAADA
- LESSONS FROM SOCCER
- Zlatan Ibrahimovic alivyo tembelea sanamu linalotengenezwa kwa ajili yake
- RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY
- New Hit: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao
- Madonna atembelea makazi duni ya Kibera, Nairobi
- Timbulo: SIjarejea kwenye ualimu
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :