Wema Sepetu hawezi kusahau kauli hii

Posted in
No comments
Wednesday, May 25, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Inawezekana ukawa ni miongoni mwa watu wanaopenda kuandika ujumbe au chochote kwenye kurasa za mastaa wa kibongo huku ujumbe ukawa unawaumiza au ukapendwa kwa kile ulichokiandika, sasa staa wa Bongo Movie Wema Sepetu ameonekana kuguswa na kauli ambayo hatoisahau katika maisha yake baada ya Shabiki kuandika kwenye instagram.
Kwenye interview na Ayo tv Wema Sepetu ameitaja kauli hiyo: "niliambiwa kwamba mimi ni mgumba nitaishia kupost watoto za watu, wewe wa kwako hatutamuona utaishia kubeba mbwa tu," alisema Wema Sepetu 

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .