Wema Sepetu hawezi kusahau kauli hii
Posted in
Burudani
No comments
Wednesday, May 25, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Inawezekana ukawa ni miongoni mwa watu wanaopenda kuandika ujumbe au chochote kwenye kurasa za mastaa wa kibongo huku ujumbe ukawa unawaumiza au ukapendwa kwa kile ulichokiandika, sasa staa wa Bongo Movie Wema Sepetu ameonekana kuguswa na kauli ambayo hatoisahau katika maisha yake baada ya Shabiki kuandika kwenye instagram.
Kwenye interview na Ayo tv Wema Sepetu ameitaja kauli hiyo: "niliambiwa kwamba mimi ni mgumba nitaishia kupost watoto za watu, wewe wa kwako hatutamuona utaishia kubeba mbwa tu," alisema Wema Sepetu
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :