Barcelona yathibitisha Dani Alves anaondoka

Posted in
No comments
Friday, June 3, 2016 By danielmjema.blogspot.com


Beki wa kulia wa Brazil Dani Alves anaondoka katika klabu ya Barcelona, kulingana na klabu hiyo. Alves mwenye umri wa miaka 33 alijiunga na Seveilla mwaka 2008 na kushinda mataji 3 ya ligi ya vilabu bingwa pamoja na mataji sita ya La Liga na Barcelona.


Mkurugenzi wa Barca Robert Fernandez aliambia mtandao wa twitter wa kiabu hiyo : Dani Alves ameamua kuondoka. ”Ni uamuzi wa kibinafsi ambao tunauheshimu”.
Alves pia alishinda kombe la Copa del Rey mara nne na Braca ambao walishinda taji la ligi na kombe msimu huu.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .