Hivi ndivyo Mohammad Ali alivyopumzishwa, watu 14,000 walihudhuria

Posted in
No comments
Saturday, June 11, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Familia ya hayati Muhammad Ali ilikusanyika pamoja na umati wa watu unaotajwa kufikia 14000 na kufanya ibada ya pamoja ya saa moja, kwa ajili ya kumuombea Muhammad Ali, ibada ambayo ilihudhuriwa na wake zake pia Khalilah Camacho-Ali na Veronica Porche-Ali.
10
Bondia wa zamani Lennox Lewis
15
Bondia Sugar Ray alikuwepo pia
2-1
Mke wa tatu wa Muhammad Ali ‘Veronica Porche’
1-1
Mke wa pili wa Muhammad Ali ‘Khalilah Camacho’
20
18
13
16
4-1
5-1
6
7
8 (2)
9
12
11
0
3-1

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .