Mabingwa watetezi Hispania walivyoanza Euro 2016 kwa ushindi

Posted in
No comments
Tuesday, June 14, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Jumatatu ya June 13 2016 timu ya taifa ya Hispania ambao ndio Mabingwa watetezi wa Kombe la Euro, walishuka dimbani kutetea taji lao hilo, kwa kucheza mchezo wao wa kwanza wa Kund D dhidi ya timu ya taifa ya Czech Republic.
Katika mchezo huo ambao wengi walikuwa wanaangalia Hispania ambaye Bingwa mtetezi wa Kombe hilo, amefanikiwa kuanza kwa ushindi kwa kuifunga Czech Republickwa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa dakika ya 87 na beki Gerrard Pique.
Licha ya Hispania kupata ushindi mdogo, walikuwa wanamiliki mpira kwa kwa asilimia 68 na Czech asilimia 32 pekee, kadri muda wa mchezo ulivyokuwa unaenda ndio Czechwalivyokuwa wanazidi kushambuliwa kutoka na Hispania kuzidi kutawala mchezo na kulazimisha kupata goli dakika za lala salama.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .