Matukio katika Picha: Ziara ya Marehemu Mohammad Ali alipotembelea Afrika
Posted in
Tanzia
No comments
Saturday, June 11, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Wakati saa chache zimebaki kabla ya kuzikwa bondia maarufu Muhammad Ali huko Marekani, kuna hizi picha zake za miaka hiyo wakati alipoitembelea Afrika, ziara yake ya kwanza kuja Afrika ilikua ni mwaka 1964 na alianzia Ghana.
Moja ya nukuu zake kuhusu Afrika ni hii >>> ‘Nataka kuiona Afrika na kukutana na Kaka na dada zangu‘

Nukuu nyingine ya Muhammad Ali baada ya kuja Afrika >>> ‘Nafuraha kuwaambia watu wangu kwamba kuna vitu vingi vya kujionea Afrika zaidi ya Simba na Tembo, hawakuwahi kutuambua kuhusu vitu vizuri vya Afrika kama Vyuo, Hospitali, Maua mazuri’

Nigeria

Muhammad Ali alipoitembelea Misri.


Alipoitembelea tena Misri mwaka 1986 akiwa tayari amebadili dini na kuwa Muislamu.

Kiongozi wa Zaire enzi hizo Mobutu Sese Seko akiwa kwenye picha na watu wengine akiwemo Muhammad Ali ambapo kiongozi huyu aliandaa pambano na kukubali kumlipa kila mpambanaji kwenye pambano aliloandaa kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 5 kila mmoja.

Pambano lililoandaliwa Congo DRC enzi hizo Zaire

Alipoitembelea Sudan mwaka 1988


Mwaka 2005 Muhammad alikutana kwa mara ya kwanza na rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela

Kinshasa mwaka 1974
Habari Zingine
- Obama kutohudhuria mazishi ya Mohammad Ali, Yatafanyika Ijumaa hii
- Kocha wa zamani wa Nigeria, Stephen Keshi amefariki Dunia
- Mbunge wa chama cha Leba Uingereza auawa
- Hivi ndivyo Mohammad Ali alivyopumzishwa, watu 14,000 walihudhuria
- Matukio katika Picha: Ziara ya Marehemu Mohammad Ali alipotembelea Afrika
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :