Naibu Waziri Madini Akutana Na Mzee Mark Bomani

Posted in
No comments
Wednesday, June 6, 2012 By danielmjema.blogspot.com



Naibu Waziri Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe.Stephen Maselle (kulia) akipokewa na Mhe. Jaji Mark Bomani, alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujadili mapendekezo ya Kamati ya Rais ya Kuishauri Serikali kuhusu usimamizi wa sekta ya madini kwa manufaa ya taifa.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .