KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA HIFADHI YA TARANGIRE

Posted in
No comments
Friday, February 7, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya ardhi, maliasili na mazingira wakijiandaa kwa safari ya kuelekea katika hifadhi ya Tarangire, iliyoko wilayani Babati, mkoa wa Manyara

Mbunge wa Luchoto, Dkt. Henry Daffa Shekifu (katikati) akisalimiana na askari muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kuelekea Hifadhi ya Tarangire, kushoto kwake ni Mkurugenzi mkuu wa TANAPA, Allan Kijazi

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya ardhi, maliasili na mazingira katika ofisi za hifadhi ya Tarangire, wakisikiliza taarifa ya uhuifadhi kutoka kwa Mhifadhi Mkuu, Stephano Kolli (hayupo pichani)
Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi, maliasili na mazingira, James Lembeli, akijadiliana jambo na Mkurugenzi mkuu wa TANAPA, Allan Kijazi (aliyeinama)
Mhifadhi mkuu wa Tarangire, Stephano Kolli, akitoa taarifa ya hifadhi kwa kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyotembelea Hifadhi hiyo
Muda wa kuanza safari kuelekea katika eneo la mradi, mbele ni mhifadhi wa Tarangire, Stephanojumbe Kolli,wajumbe na waandishi wa habari

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .