UWT KILIMANJARO WAADHIMISHA MIAKA 37 YA CCM KWA KUTOA ZAWADI SHULE YA MSINGI MWERENI

Posted in ,
No comments
Sunday, February 2, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Mushi (katikati), akiwa  na wanachama wengine wa umoja huo, baada ya kukabidhi zawadi ya  vyakula kwa wanafunzi wa shule ya msingi Mwereni, iliyoko katika Manispaa ya Moshi, mkoani hapo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Mushi, akiotesha mti katika shule ya msingi Mwereni, iliyoko katika Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM, kulia ni Mwenyekiti wa umoja huo Manispaa, Lucrecia Kundy.

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Mushi, akiotesha mti katika shule ya msingi Mwereni, iliyoko katika Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM, kulia ni Mwenyekiti wa umoja huo Manispaa, Lucrecia Kundy

Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Mushi (kushoto), akimlisha mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, ambaye ni mwanafunzi katika shule ya msingi Mwereni, iliyoko katika Manispaa ya Moshi, mkoani hapo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM.kulia kwake ni Mwenyekiti wa umoja huo Manispaa, Lucrecia Kundy

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .