MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHON 2014 YAKAMILIKA...
No comments
Saturday, March 1, 2014
                      By 
                      danielmjema.blogspot.com
| Zoezi la uandikashaji ukiendelea katika Hoteli ya Kiss, jioni hii | 
| Watu waendelea kujitokeza kujiandikisha katika Hoteli ya Kiss | 
| Uandiskishaji unaendelea | 
| Maelekezo ya hapa na pale ya namna ya ushiriki | 
| Hadi ya wanafusnzi walijitokeza kujiandikisha | 
| Mbio za kipekee nchini zinazoshirikisha wageni wengi | 
| Mafundi wa Tanga Cement wakirekebisha banda lao | 
| Marekebisho ya mwisho ya Jukwaa kuu yanaendelea | 
| Sehemu ya kumalizia mbio za Vodacom km 5 fun run zinaendela | 
| hili ndilo banda la Gapco | 
| Muonekano wa uwanja wa Ushirika jioni ya leo | 
| Njia ya kukimbilia ndani ya uwanja | 
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako

0 MAOINI :