MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHON 2014 YAKAMILIKA...
No comments
Saturday, March 1, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Zoezi la uandikashaji ukiendelea katika Hoteli ya Kiss, jioni hii |
Watu waendelea kujitokeza kujiandikisha katika Hoteli ya Kiss |
Uandiskishaji unaendelea |
Maelekezo ya hapa na pale ya namna ya ushiriki |
Hadi ya wanafusnzi walijitokeza kujiandikisha |
Mbio za kipekee nchini zinazoshirikisha wageni wengi |
Mafundi wa Tanga Cement wakirekebisha banda lao |
Marekebisho ya mwisho ya Jukwaa kuu yanaendelea |
Sehemu ya kumalizia mbio za Vodacom km 5 fun run zinaendela |
hili ndilo banda la Gapco |
Muonekano wa uwanja wa Ushirika jioni ya leo |
Njia ya kukimbilia ndani ya uwanja |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :