MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHON 2014 YAKAMILIKA...

No comments
Saturday, March 1, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Zoezi la uandikashaji ukiendelea katika Hoteli ya Kiss, jioni hii
Watu waendelea kujitokeza kujiandikisha katika Hoteli ya Kiss
Uandiskishaji unaendelea 
Maelekezo ya hapa na pale ya namna ya ushiriki
Hadi ya wanafusnzi walijitokeza kujiandikisha
Mbio za kipekee nchini zinazoshirikisha wageni wengi
Mafundi wa Tanga Cement wakirekebisha banda lao
Marekebisho ya mwisho ya Jukwaa kuu yanaendelea
Sehemu ya kumalizia mbio za Vodacom km 5 fun run zinaendela
hili ndilo banda la Gapco
Muonekano wa uwanja wa Ushirika jioni ya leo
Njia ya kukimbilia ndani ya uwanja

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .