MATUKIO MBALIMBALI MCHEZO WA YANGA NA PANONE FC YA KILIMANJARO

Posted in
No comments
Thursday, April 17, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mgeni rasmi katika pambano hilo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akisalimiana na viongozi wa Yanga mara baada ya kuwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya viongozi wa Yanga walimkumbuka Gama wakati huo akiwa mkuu wa wilaya ya Ilala ambako katika kipindi chake Yanga ilichukua Ubingwa.
Mashabiki wa soka wakiwa wamefurika katika uwanja wa Ushirika.
Baadhi ya viongozi wa Yanga na Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro wakiteta jambo.
Mama Yanga pia alikuwepo sanjari na mashabiki wengine wa Yanga.
Mashabiki pekee wa timu ya Panone pia walikuwa uwanjani hapo.
Panone fc wakipasha misuli moto.
Yanga wakipasha misuli moto.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .