MATUKIO MCHEZO WA YANGA NA PANONE FC
No comments
Thursday, April 17, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Baadhi ya wafanyabiashara walitumia fursa ya ujio wa Yanga mkoani Kilimanjaro kuuza jezi za timu hiyo pamoja na Simba. |
Maelfu ya mashabiki wa mchezo wa soka walifurika uwanjani kushuhudia pambano hilo. |
Basi la Yanga likiwasili katika uwanja wa Ushirika . |
Kocha mkuu wa Yanga Hans van der Pluym akishuka kwenye basi. |
Kocha wa makipa wa Yanga Juma Pondamali akiingia uwanjani hapo. |
Golipkipa wa timu ya Yanga Deogratius Munishi'Dida'akishuka toka kwenye basi lao. |
Mchezaji Nizar Khalfan akishuka. |
Mchezaji Didier Kavumbagu. |
Mbuyi Twite pia akashuka toka kweney basi. |
Canavaro na Kelvin Yondani nao wakateremka. |
Mchezaji Reliant Lusajo akashuka na kumkumbuka afande Pattie wakapeana kono. |
Nizar Khalifan. |
Akashuka Chumvi,Frank Domayo. |
Baadae Jerryson Tegete. |
Kisha winga machachari Mrisho Ngasa. |
Mshabiki wakaomba angalau wapate kumbukumbu katika simu zao. |
Benchi la ufundi la timu ya Panone fc likiongozwa na kocha Atuga Manyundo. |
Benchi la ufundi la timu ya Yanga likiongozwa na kocha Hans van der plujim na Boniface Mkwasa(Master). |
Wachezaji wa Panone fc. |
Wachezaji wa Yanga. |
Yanga. |
Waaamuzi wa pambano hilo wakiongozwa na mwamuzi wa kati Vitalis Alfred |
Mwamuzi Vitalis Alfred akisalimiana na mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama na kumkaribisha kusalimiana na wachezaji wa Panone fc na Yanga. |
Mkuu wa Mkoa ,Gama akisalimiana na mwamuzi msaidizi Ramadhan Mnyone. |
Mkuu wa mkoa ,Gama akisalimiana na mwamuzi wa akiba ,Masawe, |
Mkuu wa mkoa ,Gama akisalimiana na wachezaji wa Panone fc. |
Mkuu wa mkoa Gama akisalimiana na wachezaji wa Yanga. |
Viongozi wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na mwenyekiti wake Gudluck Mushi na katibu wake Mohamed Musa wakisalimiana na wachezaji wa Yanga. |
Mawaidha kabla ya kuanza ka mchezo . |
Wachezaji wakipeana mikono . |
Nahodha wa Yanga Nadir Haroub"Canavarho" akiteta jambo na nahodha wa Panone fc Juma Mgunya mbele ya waamuzi wa chezo huo. |
Waamuzi na manahodha wakila pozi la picha ya pamoja . |
Kikosi cha Panone fc. |
Kikosi cha Yanga. |
Habari Zingine
- Jionee jinsi Kuwait walivyoanikiwa kuivuta bahari nchi kavu ili kutengeneza mji mpya
- Cheki viatu vinavyotumia bluetooth kukuelekeza popote uendako
- Hizi ndio Treni mbili za kifahari zinazotengenezwa, nchini Japan, kuanza kutumika May 2017
- Simu ya Roboti yaziduliwa leo
- Uswisi kuzindua Reli ndefu zaidi Duniani inayopita 'underground' imejengwa kwa miaka 17
- China yatengeneza mabasi yanayopita juu ya magari mengine (tizama Video)
- Tigo yakabidhi Kompyuta na Printa kwa Jeshi la Polisi Mwanza, Tanzania
- Microsoft kuinunua Linkedin kwa Dola Bilioni 26.2
- BODI YA FILAMU NCHINI KENYA YAISHINIKIZA Coca Cola KUFUTA TANGAZO
- KUTOKA KIJIWENI: ILI UFANIKIWE ACHA KUFANYA HAYA
- TANZANIA: RC DAR ES SALAAM, SAID MECK SADIKI AZINDUA DUKA LA HUAWEI JIJINI DAR ES SALAAM
- Guzo mitandaoni: Thamani ya Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela
- Wasiwasi DR Congo muhula wa Kabila ukifikia kikomo
- jaydee: hii ndio siri ya kufanya vizuri miaka yote
- Maskini Mr. Nice azushiwa kifo kwenye Social Media
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :