CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI

Posted in
No comments
Sunday, May 18, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mgeni  rasmi  akiandaliwa  shimo la kupanda mti  wa kumbukumbu
Mgeni  rasmi Bw Kenneth Komba  akijiandaa kupanda  mti uliopewa  jina la Mchawakama
Bw Komba akiupanda  mti huo
Wana chama wa Chawakama  wakirejea  ukumbini
Msanii akiburudisha 
Mwenyekiti  wa    Chawakama  akizungumza machache
Wanachama  wakiwa  ukumbini

Mlezi wa chama  cha Chawakama na mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha Iringa Tulla Tweve  akitambulisha  wageni
Mmoja kati ya  viongozi akieleza malengo ya Chawakama
Mwalimu Chalamila akieleza  maana ya lugha ya kiswahili
Mwalimu wa kiswahili  chuo cha Iringa ambae ni msanii wa wimbo wa Mufindi yetu  akiburudisha
Wanachama  wakicheza  na msanii  huyo



Viongozi  wapya na wazamani  wakitambulishwa mbele ya mgeni rasmi

Keki ya uzinduzi
Mwalimu Tulla akifurahia  keki baada ya kulishwa na mgeni rasmi


Mwalimu Chalamila aliyekaa akifurahia  jambo
mgeni rasmi  Keneth komba  wa tano  kushoto akiwa  na  wanachama  wa CHAWAKAMA
Chuo  kikuu  cha Iringa

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .