CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI
Posted in
Elimu
No comments
Sunday, May 18, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
![]() |
| Mgeni rasmi akiandaliwa shimo la kupanda mti wa kumbukumbu |
![]() |
| Mgeni rasmi Bw Kenneth Komba akijiandaa kupanda mti uliopewa jina la Mchawakama |
![]() |
| Bw Komba akiupanda mti huo |
![]() |
| Wana chama wa Chawakama wakirejea ukumbini |
![]() |
| Msanii akiburudisha |
![]() |
| Mwenyekiti wa Chawakama akizungumza machache |
![]() |
| Wanachama wakiwa ukumbini |
![]() |
| Mlezi wa chama cha Chawakama na mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha Iringa Tulla Tweve akitambulisha wageni |
![]() |
| Mmoja kati ya viongozi akieleza malengo ya Chawakama |
![]() |
| Mwalimu Chalamila akieleza maana ya lugha ya kiswahili |
![]() |
| Mwalimu wa kiswahili chuo cha Iringa ambae ni msanii wa wimbo wa Mufindi yetu akiburudisha |
![]() |
| Wanachama wakicheza na msanii huyo |
![]() |
| Viongozi wapya na wazamani wakitambulishwa mbele ya mgeni rasmi |
![]() |
| Keki ya uzinduzi |
![]() |
| Mwalimu Tulla akifurahia keki baada ya kulishwa na mgeni rasmi |
![]() |
| Mwalimu Chalamila aliyekaa akifurahia jambo |
![]() |
| mgeni rasmi Keneth komba wa tano kushoto akiwa na wanachama wa CHAWAKAMA |
![]() |
| Chuo kikuu cha Iringa |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako




















0 MAOINI :