MAMLAKA YA MAJI MJINI MOSHI (MUWSA) ILIVYOANDAA CHAKULA CHA MCHANA KWA WAFANYAKAZI WAKE MEI MOSI

Posted in
No comments
Monday, May 5, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA)Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza katika sherehe ya wajumbe wa bodi na wafanyakazi wa mamlaka hiyo.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Hajira Mmambe akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani)
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Elizabeth Minde akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani)
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Boniface Maliki akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani)
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi, Mhandisi wa Maji mkoa wa Kilimanjaro, Frank Shayo akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani)
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Alfred Shayo akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (Hawako pichani)
Katibu wa bodi hiyo ambaye pia ni mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha mwenyekiti wa bodi hiyo kuzungumza na wafanyakazi.
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi ,Shally Raymond akionesha kikombe cha mshindi wa tatu kwa watoa huduma katika manispaa ya Moshi .
Wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,wakifuatilia hotuba ya viongozi huku wakigonga vyombo.
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi akatoa zawadi kwa wafanyakazi walioitumikia mamlaka hiyo kwa kipindi cha muda mrefu.
Baadae yakaanza mashindano ya kwaito wajumbe wa bodi wakatoana jasho hapa.
Likapatikana kundi la waliocheza vyema ,kisha likashindanishwa .
Wengine wakaonesha umahiri pia wakucheza kadanse.
Wale wa 'Chini chini chini chini! nao wakaoneshana staili tofauti tofauti.
Wakapatikana washindi wakakabidhiwa zawadi zao.
Miongoni mwao walikuwemo wajumbe wa Bodi ,Hajira Mmambe(picha ya juu)na mwenyekiti wa bodi Shally Raymond wote wakapata zawadi.
Ukafika wakati wa kufungua Shampagne.
Wakagonga Cheers na menejimenti ya MUWSA.
Baadae likapigwa lile lisilo na mwenyewe,hapo hakuna mjumbe wa bodi wala mkurugenzi wote ndani.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .