SPORTS XTRA DAY YAFANA JIJINI ARUSHA

Posted in
No comments
Monday, June 2, 2014 By danielmjema.blogspot.com

 Zenith Media Yatwaa Kombe la Sports Extra Day Bonanza kwa Jiji la Arusha.
Timu ya Banana investiments ikisali kabla ya kuanza kwa mchezo.
Huyu nae alikuwa aki #BRAZUCA katika mchezo wa Sports Xtra Day Jijini Arusha.
Mbwiga wa Mbwiguke the Captain wa Sports Xtra akiwapanga vijana wake.
Huyu kijana nae alipata wasaa wa kuongea na Shaffih Dauda kuwa ana kipaji cha utangazaji wa mpira ,sasa atafikaje hapo yeye (Shaffih) alipo?
Super Striker Shaffih Dauda wa Sports Xtra akichomoka na mpira katika bonanza la Sports Xtra Day ndani ya Sheikh Amri Abeid ,Jijini Arusha.
Captaiiiiiiiiin wa Sports Xtra Mbwiga Mbwiguke akielekea mapumziko na wenzake, pamoja na kucheza pia alitoa burudani sana kwa mashabiki na watazamaji wa Sports Xtra Day Bonanza.
Hapa ni timu ya Mega Trade investments (K-Vant) wakicheza na Kitambi Noma.

Muonekano mzuri wa uwanja wa kumbu kumbu ya Sheikh Amri Abeid na mlima Meru.
Wadhamini wa Sports Xtra Day ni Clouds Media Group, Mega Trade Investments (K -Vant), Banana Investments, SBC Company Limited (Pepsi) ,Zenith Media na Wazalendo 25 Blog.
Timu ya Zenith Media wakipanga mashambulizi yao
Mshindi wa pili ni Timu ya Makocha wa Arusha wakitoka na Kombe lao.
Mkurugenzi wa mauzo na Masoko wa MegaTrade Investments (K -Vant) Bw. Good Luck Kway akiongea machache, pamoja na kuipongeza Clouds Media Group na kuitaka waongeze makampuni mengine na mashindano yawe ya siku tatu au hata wiki nzima.
Mwakilishi toka Banana Investments akizungumza machache kuhusu shindano la Sports Xtra Day
Mwakilishi wa Zenith Media akiwashukuru waandaji wa Sports Xtra Day na kufurahia kwa Ushindi walioupata.
Cameraman toka Clouds Media Group Ezra Kaaya akifanya yake katika Sports Xtra Day ,jijini Arusha.
Shaffih Dauda akipata picha na Shabiki wa Kitambi Noma
Wazee wa Kitambiiiiiii Noooma.....wakifurahia kwa ushindi wa Raundi ya kwanza

Mbwiga wa Mbwiguke the Captain akipata Picha na Mashabiki wa Kitambi Noma, Kulia mwenye Box ya huduma ya kwanza ni Jimmy Chocolate 'Mukate'

Mchezaji wa zamani wa AFC na Zingine Muhidin Cheupe akisalimiana na Mbwiga Mbwiguke
Mbwiga wa Mbwiguke na shabiki wa Kitambi Noma



Mchezaji Bora ni Abuu Juma wa Timu ya Makocha wa Arusha na anaichezea mtibwa ya Morogoro akipata chupa moja ya K- Vant toka Mega Trade Investment


Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .