FREEMAN AIKAEL MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA
Posted in
Siasa
No comments
Monday, September 15, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Hatimaye Mhe Freeman Aikael Mbowe Amechaguliwa Tena kuwa mwenyekiti wa Chadema Taifa kwa kupata kura 789 sawa na asilimia 97.3 ya kura zote. Aliyeshinda nafasi ya Makamu mwenyekiti Bara ni Profesa Abdallah Safari kwa kupata kura 775 sawa a asillimia 95 na nafasi ya Makamu mwenyekiti Zanzibar ameshinda Mh Saidi Issa Mohamedi kwa kupata kura 645 sawa na asilimia 79.
MATOKEO YA UCHAGUZI
MWENYEKITI
Mh Freeman Mbowe amepata kura 789
Mh Gambaranyere Mwangateka amepata kura 20
MAKAMU BARA
Prof Abdallah Safari amepata kura 775
Hakuwa na Mpinzani
MAKAMU ZANZIBAR
Mh Said Issa Mohamed amepata kura 645
Mh Hamad Yusuph amepata kura 163.
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :