MGIMWA ACHANGIA BATI 100 UJENZI WA SHULE YA MSINGI LUKWAMBE NA ZAHANATI YA KIJIJI CHA MLANGALI
No comments
Wednesday, September 10, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
| mbunge wa Kalenga Godfrey Mgimwa akiongoza viongozi kutembelea ujenzi wa zahanati kijiji cha Mangalali |
| Diwani wa kata ya Ulanda kulia akitoa ufafanuzi kwa mbunge wa jimbo la Kalenga Bw Mgimwa kuhusu maendeleo ya ujenzi wa zahanati kijiji cha Mangalali |
| Katibu wa mbunge Mgimwa kulia Bw Martine Simangwa kulia akiteta jambo na mbunge Mgimwa. |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako

0 MAOINI :