MGIMWA ACHANGIA BATI 100 UJENZI WA SHULE YA MSINGI LUKWAMBE NA ZAHANATI YA KIJIJI CHA MLANGALI
No comments
Wednesday, September 10, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
mbunge wa Kalenga Godfrey Mgimwa akiongoza viongozi kutembelea ujenzi wa zahanati kijiji cha Mangalali |
Diwani wa kata ya Ulanda kulia akitoa ufafanuzi kwa mbunge wa jimbo la Kalenga Bw Mgimwa kuhusu maendeleo ya ujenzi wa zahanati kijiji cha Mangalali |
Katibu wa mbunge Mgimwa kulia Bw Martine Simangwa kulia akiteta jambo na mbunge Mgimwa. |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :