MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR APIGA KURA YA WAZI YA HAPANA, ATOLEWA NJE KWA ULINZI MKALI

Posted in
No comments
Wednesday, October 1, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amepiga kura ya wazi na amepiga hapana kwa sura na vifungu kadhaa, na vyengine amevikubali. Baadae mjumbe mmoja ameomba nafasi ya kutoa taatifa na amemshambulia Mwanasheria huyo kuwa hafai huku wajumbe wa Bunge hili wakishangiria.
Baada ya hali kuwa tete Mwanasheria huyo ametokewa kwenye ukumbi wa Bunge kwa mlango maalum chini ya ulinzi.
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar amepiga kura ya wazi na amezikataa ibara kadhaa kama vile 2,9,70 hadi 75,86,128,129,158, 159,160,161,243 hadi 251 na nyongeza ya kwanza ambayo inataja mambo ya 
Muungano.



Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .