JAJI ANTONY BAHATI KUZIKWA LEO
Posted in
Kifo
No comments
Tuesday, June 2, 2015
By
danielmjema.blogspot.com
Baadhi
ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Jaji mstaafu, Antony Bahati
nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam. Mazishi ya jaji Bahati
yatafanyika kesho Juni 2 katika makaburi ya Kinondoni. (Picha na Francis
Dande)
Baadhi ya waombolezaji.
Ndugu na jamaa wakiwa nyumbani kwa marehemu jaji mstaafu Antony Bahati.
Waombolezaji wakiwasili nyumbani kwa marehemu.
Jaji Antony Bahati enzi za uhai wake.
Waombolezaji wakiweka sahihi kitabu cha maombolezo.
Mwili
wa Jaji mstaafu Antony Bahati ukiwasili nyumba kwake Oysterbay ambapo
mazishi yatafanyika kesho Juni 2 katika makaburi ya Kinondoni.
Mwili wa marehemu ukiwasili nyumbani.
Watoto wa marehemu wakiwa na huzuni mara baada ya mwili kuwasili nyumbani.
Habari Zingine
- WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU TABATA, JIJINI DAR ES SALAAM
- Jivu la mwili wa Fidel Castro lazikwa Santiago Brazil
- IS yauwa wanajeshi 32 wa Libya
- Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete alivyoongoza mazisi ya mtoto wa Mdau, Issa Muhiddin Michuzi
- UPDATES ZA MSIBA WA MTOTO WA ANKAL: MWILI UMESHAWASILI DAR ES SALAAM, MAZISHI LEO JUMAMOSI SAA 10 ALASIRI MAKABURI YA KISUTU
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :