Jokate: Nmazimia Baraka Da Prince Kinouma

Posted in
No comments
Saturday, May 28, 2016 By danielmjema.blogspot.com

MREMBO wa nguvu, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa katika orodha ya wasanii wa Bongo Fleva anaowakubali kwa sasa Bongo, Baraka Andrew ‘Baraka Da Prince’ ameuteka vilivyo moyo wake.


Kidoti amefunguka hayo juzikati alipokuwa akipiga stori na mwanahabari wetu ambapo alipoulizwa kuhusu msanii wa Bongo Fleva anayemkubali zaidi, Jokate alisema anamkubali kinoma Baraka Da Prince.
“Yeah! Namkubali sana Baraka, ni mtu ambaye anafanya vizuri kwa kweli ananikosha. Mwingine ni huyu Raymond, naye nampenda,” alisema Jokate, mwanamitindo, mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva.
Chanzo:GPL

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .