Ney amtupia dongo Wolper, Shilole na Nisha, kisa?

Posted in
No comments
Wednesday, May 25, 2016 By danielmjema.blogspot.com

Rapper asiyeishiwa vituko, Nay wa Mitego, amewatupia vijembe wasanii wa kike wa bongo movie wanaopenda wasanii wa Bongo Fleva wanaochipukia na kuhit redioni.

Kupitia video aliyoipost kwenye account yake ya instagram amewataja warembo hao kuwa Jacqueline Wolper, Nisha pamoja na Shilole. Amesema wasanii hao ni kiboko kwa kukwapua wasanii wadogo ambao single zao zinafanya vizuri.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .