Usishangae Donald Trump Akiuza moja ya Majengo haya kufadhili Kampeni yake

Posted in
No comments
Monday, May 23, 2016 By danielmjema.blogspot.com

.
Mgombea Urais nchini Marekani Donald Trump amesema anaweza ‘kuuza jengo’ ili kusaidia mfuko wa kampeni yake ambayo inaweza kugharimu dola billioni 1. 
Mwanzoni hakuwa na wazo la kufadhili msimu ujao wa kampeni kwa kuuza mjengo au mali isiyoamishika lakini mabadiliko hayo yamekuja baada ya ripoti ya baadhi wafadhili wakubwa GOP huenda wakajitoa kwenye mbio hizo. Trump aliiambia Fox kwamba:
 ‘Ninaweza kufadhili mabilioni ya dola kwa kuuza jengo, nina uchaguzi wa kufanya hivyo’.
.
..
.Hoteli ya Kimataifa ya Trump  Chicago.
.
.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .