Will Smith na Lenox Lewis kuwa mmoja wa wabebaji wa Jeneza la Mohammad Ali
Posted in
No comments
Tuesday, June 7, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
![]() |
Will Smith (kulia) kwenye filamu aliyoigiza maisha ya Muhammad Ali |
Familia ya marehemu Muhammad Ali imewateuwa wawili hao ikiwa Smith ni rafiki wa karibu wa familia hiyo tangu mwaka 2001 alipoigiza filamu ya iliyokuwa inamhusu marehemu Ali.
![]() |
Bondia Lenox Lewix akiwa na Marehemu Mohammad Ali |
Muhammad Ali alifariki Juni 4 kwenye hospitali ya huko Phoenix ambako alikuwa akitibiwa kutokana na matatizo ya kupumua na mazishi yake yanatarajiwa kufanyika Ijumaa hii huko Kentucky.
![]() |
Will Smith akiwa katika picha na Mohammad Ali |
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :