Showing posts with label Kilimo Kwanza. Show all posts
Showing posts with label Kilimo Kwanza. Show all posts

KNCU YASHUSHA MTAMBO MPYA WA KUKOBOA KAHAWA KUTOKA BRAZIL.

KNCU YASHUSHA MTAMBO MPYA WA KUKOBOA KAHAWA KUTOKA BRAZIL.

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
Na Athumani Issa wa Kijiwe chetu Blog, Moshi

KATIKA harakati za kuboresha uzalishaji wa zao la Kahawa, Chama cha Ushirika cha Wakulima wa zao la Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU), kimenunua mitambo mipya ya kukoboa Kahawa, yenye thamani ya dola laki 9.48 za kimarekani, iliyoagizwa kutoka Brazil.

Mwandishi wa mtandao wa KIJIWE CHETU BLOG alifika katika viwanja vya Kiwanda cha kukoboa Kahawa (TCCCO), kinachomilikiwa na KNCU na kushuhudia magari matano, aina ya Scania, yakipakua mitambo ya kisasa ambayo ni ya kwanza katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kati.

Uagizwaji wa mitambo hiyo ni moja ya maazimio ya mkutano mkuu wa KNCU kilichofanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo wajumbe waliazimia kuwa  juhudi za makusudi zifanyike kunusuru kiwanda hicho.

Akizungumza na Mtandao huu, Meneja wa TCCCO, Endrew Kleruu, alisema mitambo hiyo itasaidia kupunguza upotevu wa kahawa,ikiwa ni pamoja na kuongeza ubora wa uzalishaji unaoendana na viwango vya ubora katika soko la Kimataifa.

Alisema mitambo hiyo yenye uwezo wa kuzalisha tani sita kwa saa moja itasaidia kuwapunguzia wakulima gharama za uzalishaji kutokana na uwezo wake wa kutumia umeme mdogo (30-35 KV) tofauti na mitambo wa zamani ambayo ilikuwa inazalisha tani nne tu kwa saa, ikitumia zaidi ya  100KV ya umeme.

Kwa upande wake meneja wa usambazaji vifaa wa kampuni ya Brazafric Enterprizes Ltd, Salim Mghweno, alisema kuwa ufungaji wa mitambo hiyo itatumia miezi miwili ambapo matarajio ni hadi kufikia msimu wa uzalishaji wa Kahawa mitambo huu umeshakamilika.


Mtambo mpya wa kisasa wa kukobolea Kahawa ulionunuliwa na Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa zao la Kahawa mkoani Kilimanjaro kwa gaharama za dola laki 9.48 ukishushwa katika kiwanda.
Mota ya kuzungusha mashine wakati wa ukoboaji ikishushwa ikiwa ni sehemu ya mtambo mpya wa kukobolea Kahawa utakaofungwa katika kiwanda cha Cofee Curing.
Sehemu ya vifaa kwa ajili ya mtambo mpya wa kisasa wa kukobolea Kahawa.

BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI

BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com


Wawakilishi wa Cafe Africa,Catherine Mwangata(Coutry Manager)  na Wiliam Wakuganda(Special Advisor) wakifuatilia mjadala wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano ya Bodi ya TCB.
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj ,Dk Juma Ngasongwa(shoto) akiwa na Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) Adolf Kumburu wakifuatilia kwa makini maelezo ya mwakilishi wa Cafe Africa hayupo pichani.
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj Dk Juma Ngasongwa akichangia wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa.
Mtafiti mafunzo, usambazaji na teknolojia kutoka taasisi ya utafiti wa zao la Kahawa (TACri),Jeremia Magesa akichangia jambo wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa.
Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Adolf Kumburu akitoa neno wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano ya Bodi ya TCB.
Mwakilishi wa Cafe Africa nchini Tanzania ,Catherine Mwangata akifafanua jambo wakati akiwasilisha mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa uliozinduliwa na Bodi ya Kahawa nchini (TCB).

White House Garden Harvests Vitamin-A Rich Orange Sweet Potato

White House Garden Harvests Vitamin-A Rich Orange Sweet Potato

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com

The sweet potato was chosen to highlight its role in improving the nutrition and health of millions of children and women throughout sub-Saharan Africa

WASHINGTON, November 17, 2014/ -- For the first time, this year’s crop in the U.S. White House kitchen garden included orange sweet potato (OSP), a root vegetable rich in vitamin A, that is becoming popular in Africa. The sweet potato was chosen to highlight its role in improving the nutrition and health of millions of children and women throughout sub-Saharan Africa by providing essential vitamin A. 

Capture.PNG
Vitamin A deficiency (VAD) is a major public health problem in many countries. It impairs immunity, increases the risk of illnesses such as diarrheal disease, and causes eye damage that can lead to blindness and even death. Annually, up to 500,000 preschool children go blind from VAD, and about two-thirds will die within months of going blind. In Africa, VAD prevalence is estimated at 42 percent among children under five.

The United States Agency for International Development (USAID) is now funding efforts to provide 285,000 Ugandan farming households not only with orange sweet potato but also beans that are richer in iron, as part of the US Government’s global hunger and food security initiative, Feed the Future.

"Through Feed the Future, President Obama's landmark food security initiative, we are scaling up the use of orange sweet potatoes in thousands of communities vulnerable to undernutrition and stunting," said USAID Administrator Dr. Rajiv Shah. "In the last year alone, we have helped seven million farmers boost their harvests with new technologies like this, and reached 12.5 million children to tackle undernutrition—one of the leading contributors to child death that also undermines global growth.”

Orange fruits and vegetables, dark leafy greens, and animal products are good sources of vitamin A but are not always available, or may be too expensive in some regions. In many part of sub-Saharan Africa, people eat large amounts of staple foods like sweet potatoes. However, the types commonly eaten are yellow and white in color and a poor source of vitamin A. 

The orange varieties are extremely rich in vitamin A and have been adapted to growing conditions in Africa, and to local tastes. In addition to being a rich source of vitamin A, orange sweet potato is also high yielding, virus resistant, and drought tolerant. In Africa, the crop is also referred to as orange-fleshed sweet potato.

Farming communities in Uganda, where orange sweet potato is now being grown on a large scale as a result of US Government assistance, have substituted more than one-third of their traditional white and yellow sweet potatoes with orange varieties. This has helped to ensure that large numbers of children and women receive their daily needs for vitamin A. One study found that in these communities orange sweet potato contributed to more than half of the vitamin A intakes of young children aged 6 months to 3 years old.  

This is notable because the first 1,000 days of a child’s life, counted from the start of a woman’s pregnancy until the child is two years old, is the most critical period of growth and development. All it takes is one ice-cream scoop’s worth of orange sweet potato to provide a young child with his or her daily vitamin A requirement. Farmers are also able to sell their surplus crop to earn extra income.

Agnes Amony, a Ugandan farmer who is part of this project, says: “I began feeding my child on these nutritious foods following the knowledge I attained in the recommended feeding practices for children under five. My child began gaining weight steadily and I am in no doubt that these foods have saved my child’s life. I am forever grateful and will never stop feeding my child on these food crops.”

In the mid-1990s, USAID played a seminal role in convincing agricultural scientists that improving yields of staple food crops was not enough—they also had to make them more nutritious. Vitamin A-rich OSP emerged as one of the first nutritionally-enhanced—and most successful—staple food crops to date.

Under First Lady Michelle Obama, the White House kitchen garden has been expanded and reinvigorated to include a wide range of herbs, fruits, and vegetables.  It serves to educate people, especially children, on the importance of good nutrition and the role that vegetables and fruits can play in improving health. 

The sweet potatoes that were planted in the garden were provided by North Carolina State University (NCSU) and include Covington, a variety developed at NCSU, and Beauregard, a variety developed at Louisiana State University. Beauregard has become one of the most popular OSP varieties, and is being grown as far afield as northern Brazil.


PRESIDENT OBIANG ASKS FOR GREATER INVESTMENT IN AGRICULTURAL SECTOR IN GUINEA

PRESIDENT OBIANG ASKS FOR GREATER INVESTMENT IN AGRICULTURAL SECTOR IN GUINEA

No comments
By danielmjema.blogspot.com
If you cannot read that message, click here.
APO content is copyright free and can be republished at will.
eg.png

PRESS RELEASE

President Obiang Asks for Greater Investment in Agricultural Sector

Closing session of the African Union Summit

MALABO, Equatorial Guinea, June 30, 2014/ -- Equatorial Guinea’s President, Obiang Nguema Mbasogo (http://equatorialguineainfo.blogspot.com), asked African countries to invest heavily in their agricultural sector to decrease their dependence on the developed world, ensure food security, and significantly reduce hunger in their countries. He made his remarks at the closing session of the Assembly of Heads of State of the African Union (AU).


Photo: http://www.photos.apo-opa.com/index.php?level=picture&id=1199 (Equatorial Guinea’s President, Obiang Nguema Mbasogo, with U.N. Secretary-General Ban Ki-moon during the AU Summit)

President Obiang said that Africa should reorient itself to ensure its independence and security of African states through the safe production of its own consumer goods. “Africa cannot be content to continue with the current dependence on the economies of the developed world. Africa is sailing upstream against a dependency that prevents them from moving toward sustainable development. Africa should rethink its relationship with the developed world to reduce as far as possible the gap that prevents access to development,” said Obiang.

“The development of agriculture can greatly reduce this dependence,” he said. “Africa can ensure food security and significantly reduce hunger in our countries. Africa should heavily invest in agricultural development to transform itself in order to accelerate growth to increase production and productivity,” said Obiang.

President Obiang proposed to the African Union the establishment of a program that focuses on the organization and exploitation of markets to promote trade and food security and to eradicate hunger, malnutrition and rural poverty. This will also reinforce the fight against climate change and agriculture.

He said that Equatorial Guinea is already investing in its agricultural sector. “As part of our diversification plan, Equatorial Guinea currently focuses on [agricultural] production to achieve these goals. It is imperative to ensure the security and stability of our states, since agriculture is the most vulnerable sector in times of instability, war and terrorism.” said Obiang

“It’s no coincidence that this session focuses on the issue of agriculture and food security in Africa. We cannot talk about the development of Africa if there is no agricultural development to ensure food security and avoid lifelong dependence on imports of consumer products.”

He noted that Africa counts on the support of organizations focused on agriculture and ways to improve the sector, and urged continued support for those organizations.

“The African Union must recognize and financially support the structures of non-governmental organizations, businesses and institutions created in Africa to support agriculture, such as the New Partnership for Africa’s Development (NEPAD).”

Obiang linked democratic and economic development. “Africa must contribute to a democratic development aimed at achieving economic development of society and the welfare of its citizens. It must be a democracy that seeks conflict reduction, he said.”

Obiang also urged his fellow Africans to prioritize South-South cooperation, a cooperation that respects the principles of equality.

“The last decade has marked considerable advancements of the African states. Many of them aspire to economic emergence in the near future. Nonetheless, the continent continues to be a victim of endemic diseases and insecurity that require a unified solution of the states.”

Obiang said it was a great honor for Equatorial Guinea to host the 23rd African Union Summit at “a moment that is crucial for the world nations as they struggle to find solutions to economic crises, security, hunger and poverty, and climate change that affect the world.” He said,  “The participation of the heads of state and numerous guests in this summit shows the interest and commitment that Africa and its partners have to find solutions to current issues.”

A session on agriculture and food security under the slogan “Transforming Africa's Agriculture, for Shared Prosperity and Improved livelihoods, through Harnessing Opportunities” was held in the afternoon.

Distributed by APO (African Press Organization) on behalf of the Republic of Equatorial Guinea.


Media Contact:
Matt J. Lauer

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA MKOA WA KILIMANJARO YATEMBELEA KIJIJI CHA RUVU JIUNGENI KILICHOKUMBWA NA MGOGORO WA ARDHI

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA MKOA WA KILIMANJARO YATEMBELEA KIJIJI CHA RUVU JIUNGENI KILICHOKUMBWA NA MGOGORO WA ARDHI

No comments
By danielmjema.blogspot.com


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ruvu Jiungeni, iliyoko katika Kata ya Ruvu, wilayani Same, alipotembelea kijiji hicho akiongozana na kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa, kijiji hicho kimekuwa katika mgogoro wa wakulima na wafugaji kwa zaidi ya miaka 20 sasa tangu mwaka 1987.
Wanakiji katika kijiji cha Ruvu Jiungeni, iliyoko katika Kata ya Ruvu, wilayani Same, wakimsikiliza Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa mkoa huo, Leonidas Gama wakati alipotembelea kijiji hicho kutatua mgogogro wa siku nyingi kati ya wakulima na wafugaji


Wanakiji katika kijiji cha Ruvu Jiungeni, iliyoko katika Kata ya Ruvu, wilayani Same, wakimsikiliza Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa mkoa huo, Leonidas Gama wakati alipotembelea kijiji hicho kutatua mgogogro wa siku nyingi kati ya wakulima na wafugaji
Mwenyekiti wa Kijiji cha Ruvu Jiungeni Lepuruka Laize, akifafanua kiini cha mgogoro wa siku nyingi baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji, mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa.
Gama akitoa maamuzi ya serikali kuhusu Mgogoro wa siku nyingi kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Ruvu Jiungeni, kata ya Ruvu, wilayani Same, Mgogoroulioanza tangu mwaka 1987.
Mmoja ya wazee wa Jamii ya Wakulima akizungumza mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa, iliyotembelea kijiji cha Ruvu Jiungeni, Kata ya Ruvu, wilayani Same, kutoa ufumbuzi wa mgogoro huo.

Wanakijiji jamii ya wafugaji katika kijiji cha Ruvu Jiungeni, Kata ya Ruvu, wilayani Same, wakimsikiliza Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa mkoa huo, Leonidas Gama wakati alipotembelea kijiji hicho kutatua mgogogro wa siku nyingi kati ya wakulima na wafugaji

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .