SUPER D AINGIZA MKANDA WA NGUMI SOKONI

Posted in
No comments
Sunday, July 21, 2013 By danielmjema.blogspot.com

Super D aachia DVD mpya za mapigano kuendeleza mchezo wa masumbwi


Na Mwandishi Wetu,  Dar es Salaam
KOCHA wa mchezo wa masumbwi hapa nchini, Rajabu Mhamila ‘Super D’, amesema kuwa kitendo cha kutengeneza DVD za ngumi ni hatua yake ya kuhakikisha kuwa vijana wanajifunza masumbwi.
 

Kazi za Super D zilizoingia sokoni.
Alisema anaamini kuwa wengi wanaobahatika kuona CD hizo wana uwezo wa kupata mwangaza na mahitaji ya kujikita zaidi katika mchezo wa masumbwi na hatimae kufikia malengo yao waliyojiwekea.

Alisema kitendo cha bondia chipukizi kuwa na muda wa kukaa na kujifunza ngumi kwa kuangalia waliyompita kiwango ni jambo lenye kutia moyo katika harakati za mchezo wa masumbwi duniani.

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .