By
danielmjema.blogspot.com
![](//3.bp.blogspot.com/-eNGE64fDULo/Uu44kCM2kcI/AAAAAAAAAFI/c3elSTamCjU/s1600/c4.jpg) |
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza
matembezi ya mshikamano kutoka Soweto, Mwanjelwa, hadi Uwanja wa Sokoine, ikiwa
ni moja ya shughuli za maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho
tawala. |
![](//4.bp.blogspot.com/-U_hQ9nwoj5s/Uu44mqA-uPI/AAAAAAAAAFQ/cwfmVFhj7lY/s1600/c9%281%29.jpg) |
Akiwahutubia wananchi baada ya matembezi |
![](//3.bp.blogspot.com/-HWuEDRQXMrY/Uu44iNdc1iI/AAAAAAAAAE4/tMGM2FY9QpY/s1600/TA1A1657.jpg) |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kulia) na akipata maelezo kutoka kwa Bunker Roy(katikati)
Mwanzilishi wa Chuo kinachofundisha mambo ya ufundi wa aina mbali mbali
ikiwemo vifaa vya umeme wa jua katika kijiji cha Tilonia Wilaya ya
Ajmer Jimbo la Rajistan Nchni India akiwa katika ziara rasmi na ujumbe
wake katika kukuza uhusiani na mashirikiano ya Kijamii.[Picha na
Ramadhan Othman India.] |
![](//1.bp.blogspot.com/-bOLp3IDyUp4/Uu44jK2YufI/AAAAAAAAAFA/08CHaVoE9aY/s1600/TA1A1679.jpg) |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akifuatana na mwenyeji wake katika Chuo cha ufundi wa Mafunzo ya Amali Bunker Roy(wa pili kulia)
Mwanzilishi wa Chuo kinachofundisha mambo ya ufundi wa aina mbali mbali
ikiwemo vifaa vya umeme wa jua katika kijiji cha Tilonia Wilaya ya
Ajmer Jimbo la Rajistan Nchni India akiwa katika ziara rasmi na ujumbe
wake katika kukuza uhusiani na mashirikiano ya Kijamii.[Picha na
Ramadhan Othman India.]
|
0 MAOINI :