By
danielmjema.blogspot.com
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEig8oRb8y4-ATGBC0XOe0yQwg9uybHaoqvv3j52-8uVORV3jg36LxIuN1UXv2geR90UzLKbc3OkVFu6ynToDo4y5PwFFYOFriyLoP7ZDBKUjarvrEKbfLFmqFeT2ZRR3v2BN2awqIjsFto/s1600/Kilimanjaro+074.jpg) |
Katibu
wa CCM mkoani Kilimanjaro, Steven Kazidi akiwa Jukwani katika Kampeni
ya Kumnadi mgombea udiwani katika kata ya Kiboriloni, Manispaa ya Moshi,
kwa tiketi ya CCM, Willy Aidano. Kampeni hizo ziliandamana na
maadhimisho ya mwaka huu ya miaka 37 ya CCM ambyo kimkoa yalifanyikia
katika kata hiyo. |
Katibu wa CCM, Steven Kazidi, akielekea Jukwaani kutangaza sera za Chama katika Maadhimisho ya miaka 37 za CCM
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQ-isykqH8pX-kShwZPVozPhHbS7HpLn37K3qibg7FN3fITDW1U31D79WWJ37aiHpYypjVf-OtwHEG74xZY7NsgLe5cCaHVOp-GDsdtp_upN2xLRGfFxanpBLDoFDPxUzCOelIzrC9YCw/s1600/Kilimanjaro+075.jpg) |
Kazidi akiwa kazini.....CCM ni miaka 37 |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBnDm40pkGL3yR5LB2fFLdygtR0tulf3Bloj_0Z9fitEFq3whc8-fnUec8pGVFaQDa2hEqlWatgqcK-idYtdrYZuzV5OKKh1rywUDxJT_uKR7uns2b_K3t9bvsv7lr9vBtzGbqebD0RxE/s1600/Kilimanjaro+072.jpg) |
Mwanasheria
Mama Elizabeth Minde ambaye ni Mwenyekiti wa CCM manispaa ya Moshi,
akimnadi Mgombea wa Udiwani Kiboriloni, Willy Aidano |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGcEPdS2Mhf17k8ddpKD67B3_4s_d7QBNdIMm85nOxT6GGHKvEYkkYCoH_ZK8WoO_B4cJ6-dqCVNoBRWQGuiMQ4JYSz5zTql_SpsOvwvkT7oqXJUN2f0MWYsHxB0pI2IirjZ-4oRh686o/s1600/Kilimanjaro+071.jpg) |
Kutoka
kushoto ni Mwenyekiti wa UVCCM, Manispaa ya Moshi, Abdalla Thabit, Kada
mmoja wa CCM, Katibu wa Wazazi mkoa wa Kilimanjaro, Selemani Pinde
pamoja na Wanachama wengine wa CCM wakimsikiliza Katibu wa CCM mkoani
Kilimanjaro, Steven Kazidi aliyepanda jukwanii kumnadi mgombea udiwani
katika kata ya Kiboriloni, Manispaa ya Moshi,
kwa tiketi ya CCM, Willy Aidano. Kampeni hizo ziliandamana na
maadhimisho ya mwaka huu ya miaka 37 ya CCM ambyo kimkoa yalifanyikia
katika kata hiyo. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUGz2cAog6U3rUyAr9GMNGAPrT-YmE4d72rmA80ft4vIv8fLqByORdXeTgtnwi_-j7m4rdNWSjb2MDpuF7kjTCw7LVap2cq7-FGOtxIByN2ozqMD38mB_xVGMyASePMKIG895mo5sjSag/s1600/Kilimanjaro+076.jpg) |
Katibu wa CCM mkoani Kilimanjaro, Steven Kazidi (kulia) akiwa na mgombea udiwani katika kata ya Kiboriloni, Manispaa ya Moshi,
kwa tiketi ya CCM, Willy Aidano. Kampeni hizo ziliandamana na
maadhimisho ya mwaka huu ya miaka 37 ya CCM ambyo kimkoa yalifanyikia
katika kata hiyo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDU8h7ZqJkuBlJc2PtJ6bSbavQx6Zr6xY82IqMH_unQEEVhpdhysrsGrbbxNn7VcmaIio6xIsDCrJPMGdUeiUmkvWP7RtvfVVan9O6hL7tbzMyoEn_1SCTR1smCV4u4XIkrAh4ZLBupYk/s1600/Kilimanjaro+051.jpg) |
Wazee
wa kimaasai wakimsikiliza Katibu wa Uchumi wa CCM, mkoa wa Kilimanjaro,
Paul Materu (hayupo pichani)akizungumza katika maadhimisho ya miaka 37
ya CCM kiwilaya yaliyofanyika katika shule ya msingi Kirya, wilaya ya
Mwanga mkoani Kilimanjaro. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYUc7BM16udFHRANPqeCBUkIOo-5RJIDR8g90zpVpVWPlLaPJ3oUktKX7-RosXT6PbTUnAQDnnwbilSo9dYZTOxnLR2bAVezll4Ue9bg4Cjs1L7DRydw57g8BG12kJ-YkWboK_aWjWIkY/s1600/Kilimanjaro+056.jpg) |
Wanachama
wa CCM katika maadhimisho ya miaka 37 ya CCM kiwilaya yaliyofanyika
katika shule ya msingi Kirya, wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3D35hXv8iRsPV6g47UiOVOHL5pBx5rDhx1wF9phyphenhyphenIZwp4Ud-uJ1cioRKIUNc2iviEnE8fYguDs72Bn1MTnqryQHi47_mUIbG6J5Ky4yDQivDUYi67xpZGQEtkJy5L6mhnHWMbO4tTCwE/s1600/Kilimanjaro+061.jpg) |
Katibu
wa Uchumi wa CCM Kilimanjaro, Paul Materu akisalimiana na Waziri wa
Maji, Prof. Jumanne Maghembe katika maadhimisho ya miaka 37 ya CCM
kiwilaya yaliyofanyika katika shule ya msingi Kirya, wilaya ya Mwanga
mkoani Kilimanjaro. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBMASgozM7GJJyGdnndBmDhUo_gBO1TAPhtdbRChgJuRs8ygNfIA2sw0MZQHfhE1ihjNRW6JnuWqdedJH5AjgpULK9TboAQvqQiokJPzsGqJuLMsj04NHsMkq1UyCsvT5EZNlgSkMfqME/s1600/Kilimanjaro+062.jpg) |
Kundi la kudance la kizazi kipya (Wanafunzi wa shule ya msingi) wakitumbuiza katika maadhimisho hayo jana. |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhfM-mf4AV9NVwThdCLJsfp19G8Qarkte-rLYysfngilCCA3BfLGzsAa0Z7Z2_Ws-2YDUV0mrSdM7pusB333P2ukRSNBsshZuhItbaISlkKIGSx_f3pDJ0AZwaepU5i7GupeD9n_31i3H4/s1600/Kilimanjaro+063.jpg) |
Waziri
wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (kulia), akisalimiana na Mwenyekiti wa
CCM wilaya ya Mwanga, Mathewa Msoffekatika maadhimisho ya miaka 37 ya
CCM kiwilaya yaliyofanyika katika shule ya msingi Kirya, wilaya ya
Mwanga mkoani Kilimanjaro. |
|
0 MAOINI :