Prezzo (Kenya) ameingia studio za Fishcrab na Baraka Da Prince (Tanzania)
Posted in
Burudani
No comments
Thursday, May 26, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Single hiyo mpya imetayarishwa katika studio za Fishcrab chini ya producer Sappy, hizi ni baadhi ya picha kutoka studioni hapo.


.Msanii kutoka Nairobi Kenya, Prezzo akitayarisha single mpya anayofanya na Baraka De Prince katika studio za Fishcrab




.Pichani:Producer Sappy ndie amehusika kutayarisha single hiyo mpya ya Prezzo naBaraka De Prince


.Kushoto ni msanii kutoka Kenya Prezzo akiwa studio na Baraka De Prince

Habari Zingine
- Madonna atembelea makazi duni ya Kibera, Nairobi
- Timbulo: SIjarejea kwenye ualimu
- Vijana wazidi kujitokeza usaili wa Maisha Plus East Africa, Dar es salaam yatia fora
- RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY
- New Hit: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :