Wema Sepetu amuombea Diamond kura BET Awards 2016
Posted in
Burudani
No comments
Saturday, May 28, 2016
By
danielmjema.blogspot.com
Mwigizaji wa Tanzania ambaye ni mpenzi wa zamani wa mwimbaji Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Wema Isaac Sepetu ameonyesha wazi anaungana na mamilioni ya Watanzania wengine wanaomsapoti mwimbaji huyo ambaye ni Msanii pekee kutoka Afrika Mashariki anaewania anaewania tuzo ya kituo cha TV cha Marekani BET.
Wema Sepetu amepost kwenye page yake ya Instagram na kusahau yaliyopita kwa kuweka kando ugomvi kati yake na mpenzi wake huyo wa zamani ambaye kwa sasa anafanya poa katika kuutangaza muziki wa Afrika mashariki na kati na kusisitiza uzalendo kwanza "Uzalendo ndio unaotakiwa, Tanzania kwanza vingine baadae ama nene? vote vote vote’

Habari Zingine
- Timbulo: SIjarejea kwenye ualimu
- Vijana wazidi kujitokeza usaili wa Maisha Plus East Africa, Dar es salaam yatia fora
- RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY
- New Hit: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao
- Madonna atembelea makazi duni ya Kibera, Nairobi
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :