Bondia wa zamani, Mohammed ALLY amefariki Dunia
No comments
Saturday, June 4, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Hali ya Mohammed Ali ambaye alikuwa akiishi katika Jimbo la Arizona, nchini Marekani, ilibadilika ghafla juzi (Juni 02) na kulazimka kukimbizwa Hopitali ambapo kwa mujibu wa maelezo ya msemaji wa Familia, Bob Gunnell, Bondia huyo alitarajiwa kupata matibabu na kurejea lakini hali haikuwa hivyo.
“He is being treated by his team of doctors and is in fair condition. A brief hospital stay is expected. At this time, the Muhammad Ali family respectfully requests privacy,” yalisema maelezo yake.
"Mungu Ailaze roho ya Bingwa 'The greatest' Mohammed Ali pema Peponi"
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :