WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WABUNGE MWISHONI MWA WIKI -DODOMA

No comments
Monday, March 10, 2014 By danielmjema.blogspot.com

Mwanamuziki maarufu wa bendi ya FM. Academia Wanangwasuma Clastobella, akiwaonyesha kipaji chake wananchi waliojitokeza katika onyesho la bendi hiyo lililofanyika katika ukumbi wa kilimani mwishoni mwa wiki chini ya udhamini wa Profesa Maji Marefu.
Mpiga gitaa la solo naye akiwapagawisha wapenzi wa bendi hiyo waliofulika ukumbini hapo
Wanamuziki hao wakionyesha umahili wao wa kucheza ngwasuma

Mpiga ngoma naye akionyesha manjonjo yake
Wacheza shoo machachali hawakuwa nyuma kuonyesha manjonjo yao
RAIS wa bendi hiyo Nyoshi El Sadati ak Sauti ya simba, akiwatambulisha wanamuziki wa bendi hiyo kwa mashabiki waliojazana katika ukumbi wa kilimani
 Nyoshi Kulia akiwaongoza wanamuziki wake kuimba
Wakilishambulia jukwaa
Nyoshi akiteta na mdhamini wao Profesa Maji Marefu na Kulia ni Mbunge wa Kahama Mjini James Lembeli, akiwatambulisha wabunge wenzake waliohushulia onyesho hilo
Wabunge waliohudhulia onyesho hilo
Mgeni rasmi wa onyesho hilo Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Juma Nkhamia, akozungumza na mashabiki  waliohudhuria
Mbunge Sugu naye hakuwa nyuma anazungumza na mashabiki kulia ni Mbunge Wenje
Mashabiki wakijimwaga kulicheza Ngwasuma

Wacheza Shoo wa bendi hiyo wenye kupepelusha viuno kama feni wakiwajibika jukwaani

Habari Zingine

0 MAOINI :

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .