MISS TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI
Posted in
Msaada
,
Ulimbwende
No comments
Sunday, September 21, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro.
Mwakilishi wa Kanda ya Ziwa katika Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 Dorine Robert akimpa zawadi ya chandarua mgonjwa Jamila Msafiri aliyelazwa katika Hospitali ya Kilema Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro jana ambapo warembo 30 wa Miss Tanzania walitoa msaaada mbalimbali ya kijamii hospitalini hapo.
Warembo wakiangalia watoto
Habari Zingine
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :