MISS TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI
Posted in
Msaada
,
Ulimbwende
No comments
Sunday, September 21, 2014
By
danielmjema.blogspot.com
Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro.
Mwakilishi wa Kanda ya Ziwa katika Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 Dorine Robert akimpa zawadi ya chandarua mgonjwa Jamila Msafiri aliyelazwa katika Hospitali ya Kilema Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro jana ambapo warembo 30 wa Miss Tanzania walitoa msaaada mbalimbali ya kijamii hospitalini hapo.
Warembo wakiangalia watoto
Habari Zingine
- JERRY SILAA AGAWA DAWATI 300 KWA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA ILALA
- MISS SINGIDA 2014 DORICE MOLLEL ATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA WODI YA WATOTO NJITI
- Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London
- DORIS MOLLEL ACHANGIA VITABU SHULE YA MSINGI MPUNGUZI, DODOMA KWA USHIRIKIANO NA MAK SOLUTIONS LTD
- KABAAANG!!! MISS TANZANIA SITTI MTEMVU ALIVUNJA MASHARTI YA.....!
- SITTI MTEMVU AKUBALI KUACHIA TAJI LA MISS TANZANIA
- BANGO SANGHO YAWEZESHA WANAFUNZI 150 SHULE YA MSINGI KIBUGUMO KUKETI
- KADA WA CCM AKUMBUKA WATOTO YATIMA SIKU YAKE YA KUZALIWA.
- MISS TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI
- BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :