Rayon Sport Vs Gor Mahia: Dylan Should know This....

Rayon Sport Vs Gor Mahia: Dylan Should know This....

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com

With Rayon Sports match set for this Sunday, what should GorMahia do to ensure they get a positive result away It was joy and jubilation when Gor Mahia eliminated South African side SupeSport United from Caf Confederation Cup.
Things have not been easy for the Dylan Kerr led side; after winning the Kenyan Premier League, the first assignment was to go past Equatorial Guinea side Leones Vegetarianos. That was a relatively easier assignment for the Kenyan side. After winning the first leg by two goals, a one all draw away ensured progression.
Esperance was the next hurdle for the Green Army, unfortunately it did not go as planned. After a barren draw at home, the Kenyan side fell away by a solitary goal, and was relegated to the final round of Caf Confederation Cup where they had to face last year's finalists SuperSport United.
A 1-0 win at home coupled with a 2-1 defeat away in Pretoria led to a 2-2 aggregate and Gor Mahia progressed to the Group stages where they were drawn to face Rwanda's Rayon Sports, Young Africans from Tanzania and North African side USM Alger from Algeria.
With Rayon Sports match set for this Sunday, what should Gor Mahia do to ensure they get a positive result away? In these kind of competitions, most teams give everything at home to get maximum points. 
Rayon will not be an exception, they will want to start their campaign on a high note. Gor Mahia has not won any away match this season, they drew 1-1 against Vegetarianos, lost 1-0 against Esperance, and finally fell 2-1 to SuperSport United. K'Ogalo has to forget their last two results and focus on how to get at least a draw against Rayon. A point away in the group stages is a decent result.
It is hard to create chances when playing away, because on most occasions, the home team presses harder leaving no open spaces for the visiting side. However, at times, mistakes do happen and chances do come by. Gor Mahia has players, who can create scoring opportunities, the best they can do is to hit the back of the net. 
Getting a goal means the home team will have to start thinking on how to recover, and as a result they will make more mistakes. No team can be perfect on the pitch, at times things may just go bad, but that does not mean mistakes cannot be minimized. 
Every department has to do its job perfectly, from the striking force all the way to the defense. Strikers have to stop the defenders from giving support, while the defenders have to do their job at the back. The goalkeeper has to know when to release the ball fast and when to cool down the pressure.
Courtesy: Goal.com

Rayon Sports vs Gor Mahia LIVE on TV

Rayon Sports vs Gor Mahia LIVE on TV

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com


The CAF Confederations Cup group match pitting Rayon Sports vs Gor Mahia kicks off at 7:00pm East Africa time on Sunday 6th May at Rwanda's Stade Régional Nyamirambo.
Four beIN Sports channels on High Definition (HD) format, Supersport 4,Zanzibar Broadcasting Channel 2 and  Rwanda National Broadcaster(Channel 299 on DSTV) will air the Rayon Sports vs Gor Mahia match live.
You got no reason to miss Rayon Sports vs Gor Mahia live!

Fahamu nchi zinaongoza kwa matumizi ya Bangi

Fahamu nchi zinaongoza kwa matumizi ya Bangi

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
Lesotho
Matumizi ya bangi nchini Lesotho yanaruhusiwa tu kwa matumizi ya dawa , kwa kiasi kikubwa bangi hulimwa nchini humo.Miaka ya 2000 ilikadiriwa kuwa asilimia 70 ya bangi nchini Afrika Kusini inatoka nchini Lesotho.
Wakulima nchini Lesotho wanalima bangi kwa ajili ya matumizi yao nyumbani na kusafirisha nje ya mipaka, kutokana na hali ya umasikini waliyonayo, wakulima wadogo nchini humo wanalima bangi miongoni mwa mazao yao mengine kama vile mahindi kwa ajili ya kusafirisha nchini Afrika Kusini.
Afrika Kusini
Afrika Kusini ni nchi ambayo ilitarajiwa kuwa ya kwanza kuhalalisha bangi.Mwezi Aprili mwaka jana, ilihalalisha bangi kwa matumizi binafsi nyumbani, lakini haikuruhusiwa kuzalishwa au kuuzwa.
Tangu mwezi machi mwaka 2017, baada ya mahakama kuu ya Western Cape kuhalalisha matumizi ya bangi majumbani bado matumizi yake ni kinyume cha sheria, mpaka pale sheria itakapobadilishwa kuruhusu wafanyabiashara walime na kuwekeza kwenye kilimo cha bangi, vivyo hivyo kwa makampuni kutengeneza bidhaa zitokanazo na bangi na mawakala kusambaza bidhaa.
katika kipindi cha miezi kadhaa nyuma, wale walioonyesha nia ya kuwekeza kwenye kilimo cha bangi wameleta maendeleo makubwa kufungua milango katika uzalishaji wa bangi kwa ajili ya dawa.
Ghana
Kwa mujibu wa Umoja wa mataifa, Ghana ni mtumiaji wa tatu wa bangi duniani, asilimia 21.5 ya raia wake wenye umri wa kati ya miaka 15 mpaka 64 wanajihusisha na uvutaji wa bangi .
kulikuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu kuhalalishwa kwa bangi, mjadala ambao uligonga mwamba wakati wa siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya.
Mamlaka nchini humo zinasema kuwa bangi ni hatari zaidi kuliko kinywaji chenye kilevi, na iwapo itahalalishwa madhara yake hayatahimilika.
pamoja na hayo Ghana inashirikiana na mataifa mengine ya Afrika Magharibi kuhakikisha kuwa wanapambana kukomesha matumizi ya bangi na usafirishaji katika ukanda wao.
Korea Kaskazini
Bangi hukua kwa wingi sana nchin Korea Kaskazini hata mashirika ya kiserikali yamekuwa yakisafirisha kuuza nje ili kupata fedha za kigeni.
wachambuzi wa mambo wanasema haiko wazi kama kuna sheria inayopinga matumizi ya bangi, nchi hiyo haitazami kama matumizi ya bangi ni kinyume cha sheria.
Bangi imekuwa ikiuzwa kwenye maduka ya vyakula na hata maeneo mengine watu wakivuta bila kificho.

Gor Mahia Lands safely, Minnaert determined to disappoint Kogalo

Gor Mahia Lands safely, Minnaert determined to disappoint Kogalo

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
Gor Mahia safely landed in Kigali,Rwanda on Saturday ahead of the much anticipated clash against local giants Rayon Sports in a Group D opener of the CAF Confederation Cup come Sunday at Kigali Regional Stadium in Nyamirambo.
The match kicks off at 7pm Kenyan time and will be live on beIn Sports, Supersport 4, Tanzania and Rwanda’s national broadcasters.
Rayon Sports Coach Ivan Minneart is optimistic his boys can continue rewriting history by beating Gor Mahia and making it to the quarter-finals of the CAF Confederations Cup. Just like Gor Mahia, Rayon Sport were relegated to the competition after elimination in the CaF Champions League.
“I have no fear for Gor Mahia. The chase for the ticket to quarter-finals starts Sunday, and we can’t afford a false start. Like in all our home games, we are going to do everything possible to get a win,” Minneart told Rwanda's The New Times.
“The target is to win as many games as possible. All the three home games are a must-win, then we fight hard for away points.” He added.
During his time as AFC Leopards coach, Minneart beat Gor Mahia 1-0 in a Mashemeji derby and went on to bag the Coach of the Month award, a first for an AFC Leopards foreign coach.
Rayon Sports welcomes back midfielder Pierrot Kwizera and forward Caleb Bimenyimana, who missed the return-leg against Mozambique’s Costa do Sol in the play-off round.
Gor Mahia on the other hand have no squad worries. The team boasts of Rwanda internationals Jacques Tuyisenge and Meddie Kagere in their line-up.
Before departure, a confident Coach Dylan Kerr said, “We trained well after the derby. We sharpened a few areas of concern arising from our previous matches and we are ready for the next challenge”
Egyptian referee Amin Mohamed Omar will be in charge of the game between Rayon Sports and Gor Mahia.

Courtesy: Michezo Afrika

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 05.05.2018

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 05.05.2018

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho anamtolea macho mshambuliaji wa Napoli, Dries Mertens. Mchezaji huyo mwenye miaka 30 amefunga magoli 45 katika kipindi cha misimu miwili iliyopita kwenye ligi ya Serie A.(Sun).
Kiungo mshambuliaji raia wa Algeria, Riyad Mahrez ametupilia mbali ombi la kuondoka Leicester lakini Mahrez mwenye miaka 27 bado hajatulia katika timu yake ya Leicester. (Sky Sports)
Mrithi wa Arsene Wenger atapatiwa bajeti ya usajili kiasi cha pauni milioni 200, huku Kocha wa Juventus Massimiliano Allegri akipigiwa upatu kushika mikoba ya Wenger.
Hata hivyo, Arsenal na Chelsea wanamtaka Kocha wa Monaco,Leonardo Jardim, ambaye anatarajiwa kuiacha klabu hiyo mwishoni mwa msimu.(Sun)
AC Milan wanataka kumchukua kiungo wa kati wa Manchester United, Marouane Fellaini (30) raia wa Ubelgiji. Mchezaji huyo atamaliza mkataba wake mwishoni mwa mwezi June.(Corriere dello Sport via Talksport)
Kiungo mshambuliaji wa Everton, Kevin Mirallas amevunjiwa mkataba na klabu ya Olympiakos. Amefunga magoli mawili katika michezo 13 ya ligi kuu ya Uturuki. (Liverpool Echo)
Mabingwa wa ligi daraja la kwanza Wolves wanataka kumsajili mlinda mlango wa Southampton,Alex McCarthy (Mirror)
Kiungo wa kati wa Arsenal Santi Cazorla amesema hajapatiwa mkataba mpya, mkataba anaoutumikia sasa utaisha kipindi cha majira ya joto(ESPN)
Kiungo mshambuliaji wa Manchester City Yaya Toure anataka kuendelea kucheza ligi kuu .Toure ataondoka City mwishoni mwa msimu baada ya miaka minane Etihad.(Manchester Evening News)
Kocha wa Palace, Roy Hodgson amesema ''hana mpango'' wa kustaafu.Hodgson, mwenye miaka 70, amebakisha mwaka mmoja kumaliza mkataba wake. (Evening Standard)

Peter Crouch amesema ataangalia mustakabali wake iwapo Stoke itashuka daraja msimu huu. Mshambuliaji huyo mwenye miaka 37 alisaini mkataba wa mwaka mmoja mwezi Novemba. (Sky Sports)
Mlinzi wa kati Aston Villa John Terry amesema ataendelea kubaki Villa Park kwa msimu mwingine iwapo watapanda ligi kuu. Kapteni huyo wa zamani wa timu ya taifa ya England alitia saini mkataba wa mwaka mmoja majira ya joto mwaka hana baada ya kuondoka Chelsea. (Manchester Evening News)
Kocha mpya wa Rangers, Steven Gerrard anamnyemelea aliyekuwa mchezaji mwenzake kwenye kikosi cha Liverpool, Martin Skrtel kuwa mmoja wa wachezaji wa kwanza kusajiliwa . Skrtel anaichezea klabu ya Fenerbahce ya Uturuki.(Daily Record)
Mlinda mlango wa Watford, Orestis Karnezis anataka kurejea nyumbani, Ugiriki, Mchezaji huyo (30) amesema anapenda kuichezea Olympiakos.(Watford Observer)

Road to World Cup 2018~France

Road to World Cup 2018~France

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com

NICKNAMED “LES BLUES” MEANING THE BLUES, FRANCE NATIONAL FOOTBALL TEAM WAS CREATED IN 1904 AROUND THE TIME OF FIFA'S FOUNDATION ON 21 MAY 1904 AND CONTESTED ITS FIRST OFFICIAL INTERNATIONAL MATCH ON 1 MAY 1904 AGAINST BELGIUM IN BRUSSELS, WHICH ENDED IN A 3–3 DRAW.

THE FOLLOWING YEAR, ON 12 FEBRUARY 1905, FRANCE CONTESTED THEIR FIRST-EVER HOME MATCH AGAINST SWITZERLAND. THE MATCH WAS PLAYED AT THE PARC DES PRINCES IN FRONT OF 500 SUPPORTERS. FRANCE WON THE MATCH 1–0 WITH THE ONLY GOAL COMING FROM GASTON CYPRÈS.

DUE TO DISAGREEMENTS BETWEEN FIFA AND THE UNION DES SOCIÉTÉS FRANÇAISES DE SPORTS ATHLÉTIQUES(USFSA), THE COUNTRY'S SPORTS UNION, FRANCE STRUGGLED TO ESTABLISH AN IDENTITY. ON 9 MAY 1908, THE FRENCH INTERFEDERAL COMMITTEE (CFI), A RIVAL ORGANIZATION TO THE USFSA, RULED THAT FIFA WOULD NOW BE RESPONSIBLE FOR THE CLUB'S APPEARANCES IN FORTHCOMING OLYMPICS GAMES AND NOT THE USFSA.

IN 1919, THE CFI TRANSFORMED THEMSELVES INTO THE FRENCH FOOTBALL FEDERATION (FFF). IN 1921, THE USFSA FINALLY MERGED WITH THE FFF. IN JULY 1930, FRANCE APPEARED IN THE INAUGURAL FIFA WORLD CUP, HELD IN URUGUAY. IN THEIR FIRST-EVER WORLD CUP MATCH, FRANCE DEFEATED MEXICO 4–1 AT THE ESTADIO POCITOS IN MONTEVIDEO.

LUCIEN LAURENT BECAME NOTABLE IN THE MATCH AS HE SCORED NOT ONLY= FRANCE'S FIRST WORLD CUP GOAL, BUT THE FIRST GOAL IN WORLD CUP HISTORY. CONVERSELY, FRANCE ALSO BECAME THE FIRST TEAM TO NOT SCORE IN A MATCH AFTER LOSING 1–0 TO FELLOW GROUP STAGE OPPONENTS ARGENTINA.

ANOTHER LOSS TO CHILE RESULTED IN THE TEAM BOWING OUT IN THE GROUP STAGE. THE FOLLOWING YEAR SAW THE FIRST SELECTION OF A BLACK PLAYER TO THE NATIONAL TEAM. RAOUL DIAGNE, WHO WAS OF SENEGALESE DESCENT, EARNING HIS FIRST CAP ON 15 FEBRUARY IN A 2–1 DEFEAT TO CZECHOSLOVAKIA.

DIAGNE LATER PLAYED WITH THE TEAM AT THE 1938 WORLD CUP, ALONGSIDE LARBI BENBAREK, WHO WAS ONE OF THE FIRST PLAYERS OF NORTH AFRICAN ORIGIN TO PLAY FOR THE NATIONAL TEAM. AT THE 1934 WORLD CUP, FRANCE SUFFERED ELIMINATION IN THE OPENING ROUND, LOSING 3–2 TO AUSTRIA.

ON THE TEAM'S RETURN TO PARIS, THEY WERE GREETED AS HEROES BY A CROWD OF OVER 4,000 SUPPORTERS. FRANCE HOSTED THE 1938 WORLD CUP AND REACHED THE QUARTER-FINALS, LOSING 3–1 TO DEFENDING CHAMPIONS ITALY.

THE 1950S SAW FRANCE HANDED ITS FIRST GOLDEN GENERATION COMPOSED OF PLAYERS SUCH AS JUST FONTAINE, RAYMOND KOPA, JEAN VINCENT, ROBERT JONQUET, MARYAN WISNIESKI, THADÉE CISOWSKI, AND ARMAND PENVERNE. AT THE 1958 WORLD CUP, FRANCE REACHED THE SEMI-FINALS LOSING TO BRAZIL.

THE 1960S AND 70S SAW FRANCE DECLINE SIGNIFICANTLY PLAYING UNDER SEVERAL MANAGERS AND FAILING TO QUALIFY FOR NUMEROUS INTERNATIONAL TOURNAMENTS. ON 25 APRIL 1964, HENRI GUÉRIN WAS OFFICIALLY INSTALLED AS THE TEAM'S FIRST MANAGER. UNDER GUÉRIN, FRANCE FAILED TO QUALIFY FOR THE 1962 WORLD CUP AND THE 1964 EUROPEAN NATIONS' CUP.

THE TEAM DID RETURN TO MAJOR INTERNATIONAL PLAY FOLLOWING QUALIFICATION FOR THE 1966 WORLD CUP, BUT LOST IN THE GROUP STAGE PORTION OF THE TOURNAMENT. GUÉRIN WAS FIRED FOLLOWING THE WORLD CUP ELIMINATION.

HE WAS REPLACED BY JOSÉ ARRIBAS AND JEAN SNELLA, WHO WORKED AS CARETAKER MANAGERS IN DUAL ROLES. THE TWO ONLY LASTED FOUR MATCHES AND WERE REPLACED BY FORMER INTERNATIONAL JUST FONTAINE, WHO ONLYLASTED TWO YEARS.

LOUIS DUGAUGUEZ SUCCEEDED FONTAINE AND, FOLLOWING HIS EARLY STRUGGLES IN QUALIFICATION FOR THE 1970 WORLD CUP, WAS FIRED AND REPLACED BY GEORGES BOULOGNE, WHO COULD NOT GET THE TEAM TO THE COMPETITION.

BOULOGNE WAS LATER FIRED FOLLOWING HIS FAILURE TO QUALIFY FOR THE 1974 WORLD CUP AND WAS REPLACED BY THE ROMANIAN ȘTEFAN KOVÁCS, WHO BECAME THE ONLY INTERNATIONAL MANAGER TO EVER MANAGE THE NATIONAL TEAM.

KOVÁCS ALSO TURNED OUT TO BE A DISAPPOINTMENT FAILING TO QUALIFY FOR THE 1974 WORLD CUP AND UEFA EURO 1976. AFTER TWO YEARS IN CHARGE, HE WAS SACKED AND REPLACED WITH MICHEL HIDALGO.

UNDER HIDALGO, FRANCE FLOURISHED, MAINLY DUE TO THE ACCOLADES OF GREAT PLAYERS LIKE DEFENDERS MARIUS TRÉSOR AND MAXIME BOSSIS, STRIKER DOMINIQUE ROCHETEAU AND MIDFIELDER MICHEL PLATINI, WHO, ALONGSIDE JEAN TIGANA, ALAIN GIRESSE AND LUIS FERNÁNDEZ FORMED THE "MAGIC SQUARE", WHICH WOULD HAUNT OPPOSING DEFENSES BEGINNING AT THE 1982 WORLD CUP, WHERE FRANCE REACHED THE SEMI-FINALS LOSING ON PENALTIES TO RIVALS
WEST GERMANY.

AT THE 1986 WORLD CUP, FRANCE WERE FAVORITES TO WIN THE COMPETITION, AND, FOR THE SECOND CONSECUTIVE WORLD CUP, REACHED THE SEMI-FINALS WHERE THEY FACED WEST GERMANY AGAIN, HOWEVER, THEY LOST. IN 1988, THE FFF OPENED THE CLAIREFONTAINE NATIONAL FOOTBALL INSTITUTE. ITS OPENING CEREMONY WAS ATTENDED BY THEN-PRESIDENT OF FRANCE, FRANÇOIS MITTERRAND.

FIVE MONTHS AFTER CLAIREFONTAINE'S OPENING, MANAGER HENRI MICHEL WAS FIRED AND WAS REPLACED BY MICHEL PLATINI, WHO FAILED TO GET THE TEAM TO THE 1990 WORLD CUP. PLATINI DID LEAD THE TEAM TO EURO 1992 AND, DESPITE GOING ON A 19-MATCH UNBEATEN STREAK PRIOR TO THE COMPETITION, SUFFERED ELIMINATION IN THE GROUP STAGE. 


A WEEK AFTER THE COMPLETION OF THE TOURNAMENT, PLATINI STEPPED DOWN AS MANAGER AND WAS REPLACED BY HIS ASSISTANT GÉRARD HOULLIER.

UNDER HOULLIER, FRANCE AND ITS SUPPORTERS EXPERIENCED A HEARTBREAKING MELTDOWN AFTER HAVING QUALIFICATION TO THE 1994 WORLD CUP ALL BUT SECURED WITH TWO MATCHES TO GO, WHICH WERE AGAINST LAST PLACE ISRAEL AND BULGARIA. 

IN THE MATCH AGAINST ISRAEL, FRANCE WERE UPSET 3–2 AND, IN THE BULGARIA MATCH, SUFFERED AN ASTRONOMICAL 2–1 DEFEAT. THE SUBSEQUENT BLAME AND PUBLIC OUTCRY LED TO THE FIRING OF HOULLIER AND DEPARTURE OF SEVERAL PLAYERS FROM THE NATIONAL TEAM FOLD. HIS ASSISTANT AIMÉ JACQUET WAS GIVEN HIS POST.

UNDER JACQUET, THE NATIONAL TEAM EXPERIENCED ITS TRIUMPHANT YEARS. THE SQUAD COMPOSED OF VETERANS THAT FAILED TO REACH THE 1994 FIFA WORLD CUP WERE JOINED BY INFLUENTIAL YOUNGSTERS, SUCH AS ZINEDINE ZIDANE. THE TEAM STARTED OFF WELL REACHING THE SEMI-FINALS OF EURO 1996, WHERE THEY LOST 6–5 ON PENALTIES TO THE CZECH REPUBLIC.

1998 FIFA WORLD CUP: HISTORY IS MADE!

IN THE TEAM'S NEXT MAJOR TOURNAMENT AT THE 1998 WORLD CUP AT HOME, JACQUET LED FRANCE TO GLORY DEFEATING BRAZIL 3–0 IN THE FINAL AT THE STADE DE FRANCE IN PARIS. JACQUET STEPPED DOWN AFTER THE COUNTRY'S WORLD CUP TRIUMPH AND WAS SUCCEEDED BY ASSISTANT ROGER LEMERRE WHO GUIDED THEM THROUGH EURO 2000. LED BY FIFA WORLD PLAYER OF THE YEAR ZIDANE, FRANCE DEFEATED ITALY 2–1 IN THE FINAL WITH DAVID TREZEGUET
SCORING THE GOLDEN GOAL IN EXTRA TIME.

THE VICTORY GAVE THE TEAM THE DISTINCTION OF BEING THE FIRST NATIONAL TEAM TO HOLD BOTH THE WORLD CUP AND EURO TITLES SINCE WEST GERMANY DID SO IN 1974, AND IT WAS ALSO THE FIRST TIME THAT A REIGNING WORLD CUP WINNER WENT ON TO CAPTURE THE EURO. FOLLOWING THE RESULT, THE FRANCE NATIONAL TEAM WAS INSERTED TO THE NUMBER ONE SPOT IN THE FIFA WORLD RANKINGS.


2002 FIFA WORLD CUP SHOCK!
ALTHOUGH, THE TEAM WON THE 2001 FIFA CONFEDERATIONS CUP, FRANCE SUFFERED A STUNNING GOALLESS FIRST ROUND ELIMINATION AT THE 2002 WORLD CUP. ONE OF THE GREATEST SHOCKS IN WORLD CUP HISTORY SAW FRANCE CONDEMNED TO A 1–0 DEFEAT TO DEBUTANTES SENEGAL IN THE OPENING GAME OF THE TOURNAMENT. FRANCE BECAME THE SECOND NATION TO BE ELIMINATED IN
THE FIRST ROUND WHILE HOLDING THE WORLD CUP CROWN, THE FIRST ONE BEING BRAZIL IN 1966.

AFTER THE 2010 AND 2014 WORLD CUPS, ITALY AND SPAIN WERE ALSO ADDED TO THIS LIST. AFTER FRANCE FINISHED BOTTOM OF THE GROUP, LEMERRE WAS DISMISSED AND WAS REPLACED BY JACQUES SANTINI. A FULL STRENGTH TEAM STARTED OUT STRONGLY AT EURO 2004, BUT THEY WERE UPSET IN THE QUARTER-FINALS BY THE EVENTUAL WIINERS GREECE.

SANTINI RESIGNED AS COACH AND RAYMOND DOMENECH WAS PICKED AS HIS REPLACEMENT. FRANCE STRUGGLED IN THE EARLY QUALIFIERS FOR THE 2006 WORLD CUP. THIS PROMPTED DOMENECH TO PERSUADE SEVERAL PAST MEMBERS OUT OF INTERNATIONAL RETIREMENT TO HELP THE NATIONAL TEAM QUALIFY, WHICH THEY ACCOMPLISHED FOLLOWING A CONVINCING 4–0 WIN OVER CYPRUS ON THE FINAL DAY OF QUALIFYING.

IN THE 2006 WORLD CUP FINAL STAGES, FRANCE FINISHED UNDEFEATED IN THE GROUP STAGE PORTION AND ADVANCED ALL THE WAY TO THE FINAL DEFEATING THE LIKES OF SPAIN, BRAZIL AND PORTUGAL EN ROUTE.

FRANCE PLAYED ITALY IN THE FINAL. AN EXTRA TIME CONTROVERSIAL DISRUPTIONS, LED TO CAPTAIN ZINEDINE ZIDANE BEING SENT OFF, FAILED TO FIND A WINNING GOAL, ITALY WINNING 5–3 ON PENALTIES TO BE CROWNED WORLD CUP CHAMPIONS.

IN THE 2010 WORLD CUP FINAL STAGES, THE TEAM CONTINUED TO PERFORM UNDER EXPECTATIONS AND WERE ELIMINATED IN THE GROUP STAGE. MIDWAY THROUGH THE COMPETITION, STRIKER NICOLAS ANELKA WAS DISMISSED FROM THE NATIONAL TEAM AFTER REPORTEDLY HAVING A DISPUTE, IN WHICH OBSCENITIES WERE PASSED, WITH TEAM MANAGER RAYMOND DOMENECH DURING HALF-TIME OF THE TEAM'S LOSS TO MEXICO.

THE RESULTING DISAGREEMENT OVER ANELKA'S EXPULSION BETWEEN THE PLAYERS, THE COACHING STAFF AND FFF OFFICIALS RESULTED IN THE PLAYERS BOYCOTTING TRAINING BEFORE THEIR THIRD GAME.

IN RESPONSE TO THE TRAINING BOYCOTT, SPORTS MINISTER ROSELYNE BACHELOT LECTURED THE PLAYERS AND "REDUCED FRANCE'S DISGRACED WORLD CUP STARS TO TEARS WITH AN EMOTIONAL SPEECH ON THE EVE OF THEIR FINAL GROUP A MATCH"

FRANCE THEN LOST THEIR FINAL GAME 2–1 TO THE HOSTS SOUTH AFRICA AND FAILED TO ADVANCE. THE DAY AFTER THE TEAM'S ELIMINATION, IT WAS REPORTED BY NUMEROUS MEDIA OUTLETS THAT THEN PRESIDENT OF FRANCE, NICOLAS SARKOZY WOULD MEET WITH TEAM CAPTAIN THIERRY HENRY TO DISCUSS THE ISSUES ASSOCIATED WITH THE TEAM'S MELTDOWN AT THE WORLD CUP, AT HENRY'S REQUEST, AFTER THE SAID MEETING, FEDERATION PRESIDENT JEAN-PIERRE ESCALETTES RESIGNED FROM HIS POSITION.

AT EURO 2012 IN POLAND AND UKRAINE, FRANCE REACHED THE QUARTER-FINALS, WHERE THEY WERE BEATEN BY EVENTUAL CHAMPIONS SPAIN. FOLLOWING THE TOURNAMENT, COACH LAURENT BLANC RESIGNED AND WAS SUCCEEDED BY DIDIER DESCHAMPS, WHO CAPTAINED FRANCE TO GLORY IN THE 1998 WORLD CUP AND EURO 2000.

HIS TEAM QUALIFIED FOR THE 2014 WORLD CUP BY BEATING UKRAINE IN THE PLAYOFFS, AND DESCHAMPS THEN EXTENDED HIS CONTRACT TILL EURO 2016. MISSING STAR MIDFIELDER FRANCK RIBÉRY THROUGH INJURY, FRANCE LOST TO EVENTUAL CHAMPIONS GERMANY IN THE QUARTER-FINALS COURTESY OF AN EARLY GOAL BY MATS HUMMELS. PAUL POGBA WAS AWARDED THE BEST YOUNG PLAYER AWARD DURING THE TOURNAMENT.

FRANCE AUTOMATICALLY QUALIFIED AS HOSTS FOR EURO 2016. BENZEMA AND HATEM BEN ARFA WERE NOT IN THE SQUAD. FRANCE WERE DRAWN IN GROUP A OF THE TOURNAMENT ALONGSIDE ROMANIA, SWITZERLAND AND MINNOWS ALBANIA. FRANCE WON THEIR GROUP WITH WINS OVER ROMANIA AND ALBANIA AND A GOALLESS DRAW AGAINST SWITZERLAND AND WERE POISED TO FACE THE REPUBLIC OF IRELAND IN THE ROUND OF 16.


2018 FIFA WORLD CUP

FRANCE WERE POTTED IN GROUP A OF THE UEFA ZONE OF THE 2018 WORLD CUP QUALIFIERS ALONG WITH NETHERLANDS AND SWEDEN. LES BLEUS HAD A SHAKY START TO THEIR CAMPAIGN AS THEY BEGAN WITH A 0-0 DRAW AGAINST BELARUS AT BARYSAW. THEY BOUNCED BACK WITH A 4-1 THRASHING OF BULGARIA WHICH WAS FOLLOWED BY A 1-0 WIN AGAINST NETHERLANDS AT AMSTERDAM.

FRANCE WON ANOTHER TWO MATCHES AGAINST LUXENBOURG AND SWEDEN BEFORE BEING BEATEN BY THE SWEDES IN THE RETURN LEG AT SOLNA. FRANCE WENT THROUGH THE REMAINDER OF THE QUALIFYING UNBEATEN AND TOPPED THEIR GROUP TO QUALIFY FOR THEIR 15TH FIFA WORLD CUP. 

(Mumbo Kwamboka)

Willy Paul:“I’m not a one minute man’

Willy Paul:“I’m not a one minute man’

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
Willy Pozze is no joke. He is revealing to his female fans his bedroom capabilities. He says he is a good performer and not a one minute man. He further adds that he is the number one in Kenya. yes, the number one performer. You feel me? Well, his post on social media has not gone uncritised as the ‘gospel’ singer was roasted by some fire breathing Christians.
He posted:
“#PERFORMER NOT A ONE MINUTE MAN!! NUMBER 1 IN KENYA.”
Willy

Governor Mike Sonko: ‘All my side dishes are Kikuyu,’

Governor Mike Sonko: ‘All my side dishes are Kikuyu,’

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
Nairobi governor Mike Sonko has reiterated that he does not hate Kikuyus as all his “side dishes” are from that tribe.
“PEOPLE SAY SONKO HATES KIKUYU, IT’S UNTRUE. I HAVE NOMINATED OVER 10 KIKUYU MCAS, MY WIFE IS A KIKUYU, ALL MY SIDE DISHES AND INLAWS ARE KIKUYU. EVEN THE INCOMING DEPUTY GOVERNOR IS A KIKUYU,” SONKO SAID.
“WE ARE AWARE THAT SOME POLITICIANS FROM MOUNT KENYA HAVE BEEN HOLDING NIGHT MEETINGS IN NAIROBI TO CRAFT PLANS ON HOW TO SUPPORT ONE OF THEIR OWN IN 2022,” SONKO SAID DURING A SERVICE AT PRESBYTERIAN CHURCH OF EAST AFRICA IN RUNDA, NAIROBI, PRESIDED OVER BY RUTO.
But to silence the critics, Sonko added that his cabinet has four Kikuyus while the chief of staff and the county secretary is also from the region.
He added that since its a season of forgiveness its time people moved on and shunned bad politics. governor has in the recent past been at pains to redeem himself from utterances he made in March that several Mt Kenya leaders have been meeting at night to scuttle Deputy President William Ruto’s presidential ambitions in 2022. On April 16, Sonko said he will not allow senior government officials to fan tribal wars between him and members of the Kikuyu community.
A furious Sonko, who took a swipe at the media at a public event outside City Hall, condemned an article published in one of the dailies which appeared to focus on his leadership style.
Sonko claimed Interior PS Karanja Kibicho is working with unidentified leaders from the Kikuyu community to try and label him as a hurdle to the well-being of Kikuyus in the city.
He further claimed Kibicho is working with a few individuals in the media to tarnish his record and label him as unfit to lead Nairobi.
The governor also accused former Starehe MP Maina Kamanda of engaging in secret plans to sabotage his work.

Tuliwapa Salah na De Bryune 'Second Chance' iweje tusimpe Balloteli

Tuliwapa Salah na De Bryune 'Second Chance' iweje tusimpe Balloteli

No comments
By danielmjema.blogspot.com
LONDON, ENGLAND


Ni ngumu kufananisha maji na mafuta, hilo halina ubishi, lakini kama Soka la Uingereza liliweza kumuamini Mohammed Salah na kumpa ‘second chance’, akaonesha alichonacho, kwanini ishindwe kumuamini mtukutu Mario Balotelli?

Kwanini ilikuwa rahisi kuamini kuwa Salah amebadilika halafu ishindwe kuamini kuwa Balloteli ameacha utukutu na kwamba sasa yuko tayari kucheza soka?

Mwaka 2011, Chelsea walitangaza kumsajili Mohammed Salah, kwa pauni milioni 11, lakini baada ya kushindwa kuonesha makali yake, akapelekwa Fiorentino na Roma kwa ahadi ya kurudi atakapo kuwa tayari kucheza
soka.

Ni kweli Salah, alipohakikisha ameiva, alirejea England, mwenyeji wake akiwa ni Liverpool. Salah akauhakikishia umma wa wapenda nchini England, kwamba sasa yuko tayari kucheza soka la uhakika. Tulimuamini na kilichotokea ni kama mlivyosikia.

Kama ilivyokuwa kwa Salah, Kevin De Bryune alitua England mwaka 2012, akitokea Ubelgiji. Akasajiliwa na Chelsea, lakini kwa bahati mbaya wakati huo, bado hakuwa tayari kucheza soka, ikabidi aondoke kwa ahadi
ile ile, ya kurejea atakapokuwa tayari.

Na kweli, mwaka 2015, baada ya kuzuruza kila mahali kutafuta uzoefu, De Bryune alirejea na kutua pale Etihad. Akatuaminisha kuwa ni kweli amebadilika na kama kawaida wapenda soka tulimuelewa tukampa ‘second
chance’. De Bryune hajatuangusha kuanzia hapo.

Unaweza kujiuliza ni  kwanini nimewataja wanaume hawa, wakati muhusika ni Super Mario Balloteli. Ni hivi, kati ya mwaka 2010 na 2013, Balloteli alikuwa mchezaji wa Manchester City, hata hivyo hakukaa, akaondoka.

Kilichomuondoa Balloteli pale Etihad (City of Manchester), hakina tofauti sana na kilichowaondoa De Bryune na Salah wakati ule; hakuwa tayari kucheza, tena yeye kesi yake ilikuwa tofauti kwa maana kwamba, alikuwa amezidiwa na ‘utoto’

Mwaka 2013, baada ya kuondoka England alielekea Italia ambako alijiunga na AC Milan. Akaichezea jumla ya michezo 43 na kufunga mabao 26. Mwaka 2014, akiamini yuko vizuri, alirejea England na kutua Liverpool. Hata hivyo, hakuwa na jipya, katika mechi 16, aliishia kufunga bao moja tu.

Liverpool, wakamuambia akajifue akiwa tayari watamfikiria. Wakamrudisha AC Milan kwa mkopo. Aliporejea AC Milan, Balloteli aliwaomba radhi wapenzi wa mchezo wa soka duniani kote na kuwahakikishia kuwa amebadilika na yuko tayari kucheza soka.

Akizungumzia mchezaji huyo, Kocha wa Liverpool wakati huo, Brendan Rogers, alituhakikishai namna ambavyo Balloteli amebadilika na yuko tayari kucheza soka. Alisema Muitaliano huyo sasa amekuwa na kwamba ameacha utoto. Wote walitundanganya!

Akaingia dimbani mara 20 na kufunga bao moja. Mwaka 2016, Liverpool ikampiga bei mazima katika klabu ya Nice, inayoshiriki Ligue 1, nchini Ufaransa. Kuanzia hapo akaanza kuonesha kubadilika, katika mechi 46, amefanikiwa kufunga mabao 29!

Akiwa na miaka 27, Balloteli sasa hivi anaonesha dalili za kupevuka. Baada ya kukaa nje ya soka la ushindani kwa zaidi ya miaka miwili, haimanishi kwamba Ligue 1 hakuna ushindani, lakini kwa kuzingatia mwenendo wa soka la Balloteli, ashakum sio matusi, alikuwa lupango.
 

Muitaliano huyu, hivi sasa anaonesha utayari wa kurejea kwenye ulimwengu wa soka. Msimu huu ameingia dimbani mara 33 na kufumania nyavu mara 22. Huu ni muendelezo wa alichokifanya msimu uliopita ambapo alifunga mabao 15, katika mechi 23.

Yote hayo Balloteli ameyafanya bila ya kujikuta katika matukio ya kitoto kama kupigana klabuni. Ili kuthibitisha kuwa kwa kweli amebadilika, hakuna siku hata moja amejikuta akiingia katika mvutano na kocha wake wala wachezaji wenzake.

Kuna tetesi kuwa, Muitaliano huyo yuko tayari kurejea England. Hapa ndipo hoja yangu inapoanzia, Endapo itathibitika kuwa ni kweli Balloteli anataka kurudi England, Je tutakuwa tayari kumpokea na kumpa ‘second chance’ kama tulivyofanya kwa Salah na De Bryune?

Kuna madai kuwa, Jose Mourinho anafikiria kumrejesha nyota huyo wa zamani wa Manchester City na Liverpool. Kama hilo litatokea itakuwa ni habari nzuri. Lakini swali ni je tunaweza kumuamini Balloteli? Akirudi
ataendeleza moto wake, au atafufua vituko vyake?

Hivi sasa anachokifikiria ni kushiriki michuano mikubwa. Balloteli anawaangalia Mohammed Salah na Kevin De Bryune na kujikuta akitamani kupata mafanikio makubwa katika soka, ikizingatiwa kuwa, umri wake
haumpi uhakika wa kuendelea kuwa na kiwango alichonacho sasa baada ya miaka miwili.

Ukweli huu ndio unaowapa hofu viongozi wa Nice na benchi la ufundi la klabu hii kwa sasa. Wanafahamu kuwa hawana uwezo tena wa kumpa anachokitaka katika umri huu wa miaka 27. Kwa sasa Balloteli anahitaji
mafanikio, anataka kubeba mataji. Rais wa Nice, Jean-Pierre Rivere, analithibitisha hilo:

“Bila mashinano ya Ulaya, itakuwa ngumu kumshawishi kwa sasa, ni wazi kuwa hatuna nafasi ya kucheza ligi ya mabingwa, Kombe la Uropa nao ni mfupa mgumu kwetu, kwa hali naona akiondoka, ni moto wa kuotea mbali
uwanjani, amebadilika sana, hata staili yake ya uchezaji umebadilika pakubwa.”

Kama kuna kitu cha kujifunza kutoka katika msimu huu wa soka wa ligi kuu ya England, ni kwamba hata nyota wenye majina makubwa, huwa wanahitaji muda na changamoto ya kuwajenga na kuwafanya wawe na ubora
walioa nao.

Mfano hai ni Kevin De Bryune wa Man City na Mohammed Salah wa Liverpool. Hata Cristiano Ronaldo mwenyewe ilibidi aondoke Sporting Lisbon, apitie katika mikono salama ya Sir Alex Ferguson kabla ya kuwa staa wa dunia tunayemshudia pale Santiago Bernabeu.

Kama kigezo cha umri ndicho kitakachosababisha soka la England na mashabiki wake wamkatae Balloteli kwa sasa, basi kuna haja ya kurudi maktaba na kutafuta kitabu cha Jamie Verdy, kulisoma na kuelewa maana
halisi ya mafanikio na Umri.

Kama Verdy aliweza kuipa Ubingwa Leicester katika umri wake mkubwa wa miaka 30, kwanini ishindikane kwa Balloteli na miaka yake 27? Maana yangu ni kwamba hakuna umri maalum, au wakati maalum wa kufanya
kilichosahihi.

Mario Balloteli Barwuah, wa sasa sio yule tuliyemzoea, Balloteli wa sasa ni Baba wa watoto wawili, Lion na Pia. Anarudi kwetu akiwa ni mtu mzima. Anajua ni kipi kinachomstahili kama Baba wa familia. Huu ndio wakati ambao tunaweza kukishuhudia kipaji halisi cha Balloteli. Majukumu aliyonayo yanamsukuma kujituma.

Mwenyewe amekiri kuachana na zile tabia za kupgana Baa. Amekiri kuachana na tabia za kukimbizana na vibinti vidogo katikati mwa Jiji la London na Manchester kama ambavyo alizoea kufanya kipindi. Anasema kabadilika kwanini tushindwe kumuamini kama tuliweza kuwaamini Salah na De Bryune?

Mwisho.

RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY

RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY

Posted in
No comments
By danielmjema.blogspot.com
RAPPER WA CAMEROON, NGOMA AACHIA VIDEO YA WIMBO MPYA ‘ALL LES DAY’, AIELEZEA COLLABO YAKE NA RAY VANNY



Rapper maarufu wa nchini Cameroon, Atanga Schneider Ngomah maarufu kama Ngoma, ameachia video ya wimbo wake mpya, All Les Day. All Les Day ina maana ya ‘Kila Siku.’ Ukitayarishwa na producer wake wa miaka mingi, Dijay Karl, huu ni wimbo wenye mahadhi ya Hip hop na Trap iliyonakishwa na mitindo asili ya uchanaji katika viunga vya mitaa maarufu ya Cameroon.
Pia ina vionjo vya mtindo wa Jwe’te ambao ni mchanganyiko wa muziki wa asili wa kabila la Ngemba ambavyo vinasikika kwa mara ya kwanza kwenye wimbo. Amesema vionjo hivyo vitasikika zaidi kwenye nyimbo zake zijazo.  Pamoja na kutumia Pidgin English (Kiingereza kizungumzwacho Cameroon), Ngoma ametumia Kifaransa pamoja na kabila na Ngemba kwenye wimbo huu. Video yake imeongozwa na Shamak Allharamaji.
Ngoma si mgeni kwenye masikio na macho ya mashabiki wa muziki wa Tanzania. Mwaka jana akiwa na wimbo wake maarufu, Mangosi, alifanya ziara ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam katika vituo vya redio na TV vikiwemo Clouds TV, East Africa Radio, EFM, Times FM na Magic FM.
Katika ziara yake hiyo, Ngoma alifanikiwa kurekodi collabo na Ray Vanny katika studio za Surprise Music chini ya producer Rash Doni, huku mdundo na ukamilishaji wa wimbo ukifanywa na Dijay Karl. Amepanga kuachia wimbo huo mapema mwakani wakati wa shamrashamra za Kombe la Mataifa ya Afrika.  Pia Ngoma amesema baada ya kuachia video takriban nne, ataachia album yake inayosubiriwa kwa hamu, G.O.AT. (Greatest of All Time).

MWANDISHI AANIKA SIRI NZITO ZA MAUAJI YA ALBINO KWENYE KITABU

MWANDISHI AANIKA SIRI NZITO ZA MAUAJI YA ALBINO KWENYE KITABU

No comments
By danielmjema.blogspot.com

 Jalada la kitabu cha ‘MIFUPA YA ALBINO’.
Mwandishi Daniel Mbega, akiwa ameshikilia Karunguyeye waliokaushwa nyumbani kwa mganga wa jadi.

MWANDISHI wa habari mwandamizi nchini, Daniel Mbega, amekamilisha kuandika kitabu kinachofichua siri zilizo nyuma ya pazia kuhusiana na mauaji ya vikongwe na albino nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla.

UHURU WA HABARI SIO KUIANGALIA TU SERIKALI - MWAKYEMBE

UHURU WA HABARI SIO KUIANGALIA TU SERIKALI - MWAKYEMBE

No comments
By danielmjema.blogspot.com
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa Unesco ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Mawasiliano Kanda ya Afrika Mashariki ofisi ya Unesco Nairobi, Jaco Du Toit (kulia) mara baada ya kuwasili kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma. Wengine ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Edda Sanga (wa pili kulia) pamoja na Afisa Utawala Msaidizi na Itifaki wa ofisi za Unesco Dar es Salaam, Rahma Islem (kushoto).
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akisalimiana na Naibu Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU), Charles Stuart mara baada ya kuwasili kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma. Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari (wa kwanza kushoto), Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Habari Unesco nchini, Nancy Kaizilege ( wa tatu kushoto), Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Friedrich Ebert Stiftung Tanzania, Andreas (wa pili kulia) pamoja na Meneja Programu wa Tanzania Media Fund (TMF), Razia Mwawanga (kulia)
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akisalimiana na Meneja Programu wa Tanzania Media Fund (TMF), Razia Mwawanga mara baada ya kuwasili kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akipata maelezo kutoka kwa Afisa Programu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Paul Mallimbo (katikati) kuhusu ripoti ya uvamizi wa kituo cha habari cha CLOUDS wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa Tehama na Programu za Vyombo vya Habari wa TMF, Baraka Kiranga (kushoto) kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma. Wengine ni Mwandishi wa kujitegemea Adelina Johnbosco (katikati) pamoja na Mtayarishaji bora wa makala na vipindi vya TV kuhusu utalii na uhifadhi, Anwary Msechu (kulia).
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akimpongeza Mtayarishaji bora wa makala na vipindi vya TV kuhusu Utalii na Uhifadhi, Anwary Msechu ambaye alishinda tuzo mbili za Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF) katika kipengele cha mwandaaji bora wa makala na makala bora iliyohusu malipo duni ya kwa wapagazi Mlima Kilimanjaro wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mratibu wa Miradi wa Taasisi ya Friedrich Ebert Stiftung, Amon Petro akitoa maelezo kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe kuhusu malengo ya taasisi hiyo ambayo ni Kukuza Demokrasia, Utawala Bora na Haki Jamii ambapo alieleza ili kufikia malengo hayo wanafanyakazi na asasi mbalimbali za kiraia, vyama vya siasa na vyama vya wafanyakazi pamoja na waandishi wa habari wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Mkuu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini (THRDC), Onesmo Ole Ngurumwa, Mwandishi wa kujitegemea Adelina Johnbosco,  Mdau wa tasnia ya Habari na Afisa Mawasiliano wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Innocent Mungy pamoja na Mtayarishaji bora wa makala na vipindi vya TV kuhusu Utalii na Uhifadhi, Anwary Msechu ambaye alishinda tuzo mbili za Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF) katika kipengele cha mwandaaji bora wa makala na makala bora iliyohusu malipo duni ya kwa wapagazi Mlima Kilimanjaro wakiwa kwenye picha ya pamoja banda la maonyesho la TMF wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mshehereshaji wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, Neville Meena akitambulisha meza kuu katika maadhimisho hayo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Edda Sanga, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa Unesco ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Mawasiliano Kanda ya Afrika Mashariki ofisi ya Unesco Nairobi, Jaco Du Toit, Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari, Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe pamoja na Naibu Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU), Charles Stuart wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari akitoa salamu za MISA-TAN wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa Unesco ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Mawasiliano Kanda ya Afrika Mashariki ofisi ya Unesco Nairobi, Jaco Du Toit, akitoa salamu za Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Audrey Azoulay wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
  Afisa Programu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Paul Mallimbo akitoa salamu za Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Kajubi Mukajanga wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Katibu wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Henry Muhanika akitoa salamu kwa niaba ya Mwenyekiti wa MOAT, Dk. Reginald Mengi wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Wakfu wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), Fausta Musokwa akitoa salamu za TMF wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Friedrich Ebert Stiftung, Andreas Quasten akizungumza wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Deodatus Balile akitoa salamu za TEF wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari nchini (UTPC), Jane Mihanji akitoa salamu za UTPC wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mwakilishi waandishi wa habari wakongwe (Veterans), Kiondo Mshana akitoa salamu za Ma-Veterans ambapo alisema amani tuliyonayo inadumu kutokana na weledi wa uandishi wa habari nchini wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Edda Sanga akitoa salamu za taasisi hiyo wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Naibu Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU), Charles Stuart akitoa salamu za Umoja huo wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa Unesco ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Mawasiliano Kanda ya Afrika Mashariki ofisi ya Unesco Nairobi, Jaco Du Toit akichambua ripoti  inayohusu uhuru wa kujieleza na maendeleo ya vyombo vya habari kabla ya kuikabidhi kwa Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa Unesco ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Mawasiliano Kanda ya Afrika Mashariki ofisi ya Unesco Nairobi, Jaco Du Toit akimkabidhi Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe nakala ya ripoti inayohusu uhuru wa kujieleza na maendeleo ya vyombo vya habari wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma. Katikati anayeshuhudia tukio hilo ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akizundua Ripoti ya tathimini ya Hali ya Habari Tanzania 2017 - So This is Democracy? Iliyoandaliwa na MISA-TAN wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma. Wanaoshuhudia tukio hilo Kulia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari, Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Gasirigwa Sengiyumva (wa pili kushoto) pamoja na Afisa Mawasiliano Msaidizi wa MISA-TAN, Fredy Njeje (kushoto aliyeketi).
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akisalimiana na Mtaalamu wa Masuala ya Vyombo vya Habari na Mkufunzi wa Kujitegemea, Rose Haji Mwalimu wakati wa kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mkuu wa wilaya ya Kongwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Deogratius Ndejembi akizungumza na washiriki wakati akifunga kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari wakongwe (Veterans) mara baada ya kuhutubia kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
 Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na Wahariri, Mameneja wa Redio za Jamii na Waandishi wa habari mara baada ya kuhutubia kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.
Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki, wadau wa habari na wanafunzi wa Dodoma College of Jorunalism mara baada ya kuhutubia kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari yaliyofanyika katika Hoteli ya Morena jijini Dodoma.

Na Mwandishi wetu
VYOMBO vya habari nchini vimekumbushwa kwamba uhuru wa habari sio kuiangalia tu serikali, bali kujiangalia  wenyewe na pia vyombo vyao vya habari.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe wakati akihutubia hadhira ya waandishi wa habari katika kilele cha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani, sherehe zilizofanyika kitaifa katika hoteli ya Morena Jijini Dodoma.
Katika hotuba yake baada ya kusikiliza hoja kadha kutoka taasisi mbalimbali kuhusiana na uhuru wa vyombo vya habari nchini na hisia kwamba vinaminywa Waziri huyo alisema kwamba ipo haja ya tasnia kujiangalia yenyewe kama inatenda haki na weledi kwa taifa hili.
“Kalamu ya mwanahabari ina nguvu sana, ina nguvu sawa na ya silaha, ikitumiwa vizuri ni mlinzi na ikitumiwa vibaya ni maafa” alisema Dk. Mwakyembe
Alisema katika mazingira ya sasa ambako kuna walimu wengi kuna baadhi ya watu wanapiga kelele kuhusu kufuatwa kwa sheria wakisema sio demokrasia, huku wakifahamu fika kwamba hata katika nchi zao hicho wanachoimba demokrasia hakipo.
Akihutubia kama mgeni rasmi alisema kwamba ingawa dirisha lipo wazi kwa majadiliano, serikali haitarudi nyuma kutokana na haja mahsusi ya udhibiti wa yanayoendelea katika mitandao kwa manufaa ya taifa hili leo na kesho.
 “Kuhusu Kanuni za Maudhui Mtandaoni, hili tunaweza kukaa na kujadili lakini kama Serikali hatutarudi nyuma katika hili.
 “Kupitia mtandao, bila kuweka udhibiti kuna mambo mengi yanapita ambayo hatuwezi kukubaliana nayo”  alisema Dk Mwakyembe.
Akiwasilisha salamu za Jukwaa la wahariri nchini TEF, Kaimu Mwenyekiti Deodatus Balile alisema kwamba ipo haja ya kuendesha mdahalo wa kitaifa kuhusu mustakabali wa uhuru wa habari nchini Tanzania ambao hatima yake ni amani na maridhiano.
Alisema haja ya mdahalo huo unatokana na kuwapo kwa matukio mfulululizo dhidi ya wanahabari iwe Dar es salaam, Dodoma, Iringa na Mbeya yanayoonesha kuwapo na viashiria ambavyo havina afya kwa uhuru wa habari.
Pia alisema hata hatua zinazochukuliwa na TCRA ni hatua ambazo zinakatisha tamaa na kuingiza woga katika utendaji wa shughuli za vyombo vya habari.

Wazungumzaji wengi katika siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, walizungumzia haja ya kukaa na kuzungumza kuhusiana na sheria za vyombo vya habari na kuona nia njema ya serikali katika kutengeneza uwajibikaji kwa sekta hiyo muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Makamu mwenyekiti wa UTPC (Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari) Jane Mihanji yeye aliitafadhalisha kutimiza wajibu wake kwa kupanua wigo wa habari.
Alitaka waandishi kujengewa mazingira bora ya kufanyakazi ili waweze kutekeleza wajibu wao  kwa manufaa ya taifa.
Ofisa Programu wa Baraza Huru la Habari nchini (MCT) Paul Mallimbo aliwataka wananchi, wadau wa habari na serikali yenyewe kuangalia upya sheria katili ambazo zinadumaza uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari wenyewe na kuwafanya kufanyakazi kwa woga.
Alisema kuna sheria nyingi zinazominya uhuru wa habari na kutaka zirekebishwe ili kuhakikisha kuwapo kwa uhuru ambao pia unazungumzwa katika katiba na kwenye haki za binadamu ambapo nchi imetia saini.
Pamoja na wazungumzaji wawakilishi kutoka kwa wadau mbalimbali wa tasnia ya habari pia wakubwa wa mashirika ya kimataifa nayo yalikuwepo kuelezea hisia zao kuhusiana na uhuru wa vyombo vya habari na nini kifanyike.
Naye Mwenyekiti wa MOAT, Dk Reginald Mengi  ameitaka serikali kuendelea kusaidia uhai wa vyombo vya habari kwa kuvipa matangazo kutoka serikalini kwenyewe na kwenye taasisi zake.
Katika hotuba yake iliyosomwa na Katibu wa MOAT, Henry Muhanika alisema ipo haja ya kutolewa kwa fursa sawa za matangazo kwa vyombo vya habari kwa kuwa vyote vinachangia maendeleo ya nchi na vinahitaji navyo kujiendesha.
Pia alitaka kuangaliwa kwa vipengele tata vya sheria ambavyo vinakatili uhuru wa habari ili kuwezesha tasnia kusonga mbele na majukumu yake ya kusaidia serikali kuchochea maendeleo.
Katika siku hiyo ya habari pia maveterani wakiwakilishwa na Kiondo Mshana walizungumza kuhusu tasnia ya habari wakitaka waandishi kutokuwa waoga na kutekeleza wajibu wao kwa weledi.
Aidha alisema kwamba ni vyema waandishi wakawaibua watu hao wasiojulikana kwa kuwa ni kazi yao kufanya hivyo kwani wakati mwingine watu hao wasiojulikana nia yao ni kuchonganisha serikali na wananchi wake kwa kukaa katikati na kufanya ujambazi.
Aidha aliwakumbusha haja ya kuagana na nyonga wakitaka kuruka ili shughuli wanazofanya ziwe makini na za uhakika. Pia alikemea uhusiano wa paka na panya kati ya serikali na waandishi akisema hiyo haileti afya.

Naye MKurugenzi wa TAMW, Edda Sanga akitaka umakini katika ustawi wa jamii kwa kupiga vita ukatili kwa watoto.
Nayo Wakfu wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF) imesema serikali ina wajibu mkubwa wa kuhakikisha haki inatendeka na kunakuwapo na utawala wa sheria.
Akizungumzia mafanikio katika siku ya kuadhimisha Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani, Mkurugenzi wa Mpito wa TMF Fausta Musokwa alisema vyombo vya habari na waandishi wa habari wana nafasi ya kipekee katika kuchochea maendeleo ya nchi.
Alisema vyombo hivyo vinavina nafasi ya kuwajibisha watu wote nchini ili malengo ya maendeleo yaliyowekwa kama nchi yanafikiwa kwa kufanya kazi yao kwa weledi, maadili na umakini, bila uoga.
Alisema kazi ya sekta ya habari ni kutafuta na kuchambua taarifa ili kutengeneza na kutoa habari kwani upatikanaji wa habari sahihi kwa wakati ni daraja la maendeleo.
Naye Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Friedrich Ebert Stiftung Tanzania, Andreas Quasten alitaka waandishi wa habari kujengewa uwezo katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ya kila siku. 
Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Salome Kitomari aliitaka serikali kuhakikisha kwamba haki za waandishi wa habari hasa zile zinazohusiana na usalama wao zinazingatiwa.
“Tunaitaka Serikali kupitia jeshi la PolisiTanzania kuwatafuta waliohusika na kupotea kwa Mwanahabari AzoryGwanda na kuwachukulia hatua stahiki” alisema Salome Kitomari.

Fadhili Athumani



EastAfrica Swahili Blogger, Journalist at Mwanaspoti Kenya, Nairobi Kenya, Call: +254705246475, whatsapp:+255654724337, Email: fadhiliathumani85@gmail.com

Proudly Powered by EAMG .