Katumbi ashitakiwa kwa kuajiri Mamluki
Posted in
Siasa
No comments
Thursday, May 19, 2016
By
danielmjema.blogspot.com

Bw Katumbi alitangaza wiki mbili zilizopita kwamba atawania urais katika uchaguzi wa mwezi Novemba. Msemaji wa serikali Lambert Mende aliambia AFP kwamba agizo la kukamatwa kwa Katumbi ambaye ndiye mmiliki wa kilabu ya TP Mazembe tayari limetolewa.
Bwana Katumbi awali alikana madai kwamba amekuwa akiwaajiri mamluki wa kigeni kuwa ya uongo na kwamba yalilenga kumzuia kuwania urais katika uchaguzi unaotarajiwa nchini humo.
Haijulikani iwapo uchaguzi utafanyika mnamo mwezi Novemba na iwapo rais Joseph Kabila anapanga kuondoka uongozini baada ya kuhudumu kwa mihula miwili.
Habari Zingine
- MCHAKATO WA KUMPATA MRITHI WA BAN KI-MOON WAANZA
- LOWASSA ACHANGIAWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU NA WANA CCM MKOA WA TABORA
- MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AKABIDHIWA MRADI WA UJENZI WA UKUMBI WA CHAKULA ULIOFADHILIWA NA TANAPA
- Katumbi ashitakiwa kwa kuajiri Mamluki
- RAILA AKIFANYA HAYA ATASHINDA URAIS, UCHAGUZI MKUU 2017.
Mjulishe Mwenzako
0 MAOINI :